Majaliwa aikumbusha UNHCR majukumu yake nchini
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amelitaka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) na mashirika rafiki kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kati yao na Wizara ya Mambo ya Ndani, ya kusaidia huduma mbalimbali za kijamii ndani ya kambi za wakimbizi na vijiji vinavyozunguka kambi hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oc5SHE8P9T8/XoXSMrDD-CI/AAAAAAALl04/Y1ZkO3YZrWsPohU9IiLaaNSwJZvXUlp4gCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-1-768x512.jpg)
SIMBACHAWENE AKUTANA NA MWAKILISHI MKUU WA UNHCR NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oc5SHE8P9T8/XoXSMrDD-CI/AAAAAAALl04/Y1ZkO3YZrWsPohU9IiLaaNSwJZvXUlp4gCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-1-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza masuala mbalimbali yanayohusu wakimbizi na Mwakilishi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini, Antonio Canhandula (kulia), wakati mwakilishi huyo alivyofika ofisini kwa waziri, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-1-1024x683.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OerbZaD2pr4/VNIvpasfb0I/AAAAAAAHBqY/1HX9EnzzoYc/s72-c/ddm.jpg)
JUST IN: ASKARI AUWAWA KIKATILI DODOMA AKITEKELEZA MAJUKUMU YAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OerbZaD2pr4/VNIvpasfb0I/AAAAAAAHBqY/1HX9EnzzoYc/s1600/ddm.jpg)
5 years ago
MichuziNILAZIMA TAASISI ZA KILIMO ZIFANYE MAJUKUMU YAKE ILI KUENDELEA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fVVkEQ3wuuE/U0JerkdPJ6I/AAAAAAAFZJY/kKBW_Rji5E4/s72-c/unnamed+(77).jpg)
UNHCR WAKABIDHI GARI MPYA KWA AJILI YA IDARA YA WAKIMBIZI NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fVVkEQ3wuuE/U0JerkdPJ6I/AAAAAAAFZJY/kKBW_Rji5E4/s1600/unnamed+(77).jpg)
10 years ago
GPLTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4_9aGk7qRfw/default.jpg)
10 years ago
MichuziTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
UNHCR wamkabidhi gari mpya Waziri Chikawe, kwa ajili ya Idara ya Wakimbizi nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...