Nilipanga kustaafu siasa 2015 -Magufuli
MGOMBEA urais mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema kama si kuombwa kuwania urais, alipanga kuachana na siasa mwaka huu, kwani alijiwekea lengo la kuachana na ubunge baada ya kuwa mbunge wa Chato kwa miaka 20 sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Waziri mkuu wa India kustaafu siasa
Waziri mkuu wa India, Manmohan Singh, amesema hatasalia katika wadhifa huo ikiwa chama chake kitashinda uchaguzi mkuu ujao
10 years ago
Michuzi
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Waliocheka, walionuna katika siasa 2015
Mwaka 2015 ulikuwa wa matukio mengi ya kisiasa. Baadhi ya matukio hayo yalibadili kabisa maisha ya wanasiasa kwa wema au ubaya. Wapo ambao nyota zao ziling’ara na ambao siasa ziliwaendea kombo hadi wakalazimika kuachana nazo. Pia wapo waliotangulia mbele ya haki katikati ya mchakato wa uchaguzi mkuu.
11 years ago
Mwananchi03 Sep
Je, vijana wataimudu mikiki ya siasa 2015?
Mwishoni mwa 2010 na mwanzoni mwa 2011, dunia ilishuhudia mfululizo wa maandamano na kuanguka kwa tawala kongwe hasa katika ulimwengu wa Kiarabu. Maandamano hayo yanaitwa ‘Arabian Spring.’
10 years ago
GPL
2015 TUPUNGUZE SIASA, TUFANYE KAZI
Waziri mkuu Mizengo Pinda. LEO ni siku ya pili tangu tumeanza mwaka 2015, ambao utakuwa na pilikapilika nyingi, pengine kuliko ilivyokuwa mwaka uliopita. Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kufika salama, kwa wale ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki, walio majeruhi na wagonjwa, tuwaombee kila dakika. Tumeumaliza mwaka 2014 tukiwa na stress kubwa, maana mambo mengi ya kisiasa yalituachia makovu yasiyofutika, lakini...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli
SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania