Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nilipanga kustaafu siasa 2015 -Magufuli

Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa Chato mkoani Geita jana. (Picha na Adam Mzee wa CCM).MGOMBEA urais mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema kama si kuombwa kuwania urais, alipanga kuachana na siasa mwaka huu, kwani alijiwekea lengo la kuachana na ubunge baada ya kuwa mbunge wa Chato kwa miaka 20 sasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa India kustaafu siasa

Waziri mkuu wa India, Manmohan Singh, amesema hatasalia katika wadhifa huo ikiwa chama chake kitashinda uchaguzi mkuu ujao

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI

Mkuu  wa  wilaya ya Mufindi Mboni Mhita katikati  akiwa katika picha ya pamoja na   mabingwa wa mashindano ya  kombe la Muungano Mufindi timu ya Mucoba Fc ,wa kwanza kulia ni mratibu wa mashindano hayo aliyestaafu rasmi Daud Yassin na mdau mkubwa wa  soka mkoa wa Iringa Feisal AsasMkuu wa wilaya ya  Mufindi Mboni Mhita  akikabidhi kombe kwa mabingwa  timu ya MUcoba FC

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Mwananchi

Waliocheka, walionuna katika siasa 2015

Mwaka 2015 ulikuwa wa matukio mengi ya kisiasa. Baadhi ya matukio hayo yalibadili kabisa maisha ya wanasiasa kwa wema au ubaya. Wapo ambao nyota zao ziling’ara na ambao siasa ziliwaendea kombo hadi wakalazimika kuachana nazo. Pia wapo waliotangulia mbele ya haki katikati ya mchakato wa uchaguzi mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, vijana wataimudu mikiki ya siasa 2015?

Mwishoni mwa 2010 na mwanzoni mwa 2011, dunia ilishuhudia mfululizo wa maandamano na kuanguka kwa tawala kongwe hasa katika ulimwengu wa Kiarabu. Maandamano hayo yanaitwa ‘Arabian Spring.’

 

10 years ago

GPL

2015 TUPUNGUZE SIASA, TUFANYE KAZI

Waziri mkuu Mizengo Pinda. LEO ni siku ya pili tangu tumeanza mwaka 2015, ambao utakuwa na pilikapilika nyingi, pengine kuliko ilivyokuwa mwaka uliopita. Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kufika salama, kwa wale ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki, walio majeruhi na wagonjwa, tuwaombee kila dakika. Tumeumaliza mwaka 2014 tukiwa na stress kubwa, maana mambo mengi ya kisiasa yalituachia makovu yasiyofutika, lakini...

 

10 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli

SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani