Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliocheka, walionuna katika siasa 2015

Mwaka 2015 ulikuwa wa matukio mengi ya kisiasa. Baadhi ya matukio hayo yalibadili kabisa maisha ya wanasiasa kwa wema au ubaya. Wapo ambao nyota zao ziling’ara na ambao siasa ziliwaendea kombo hadi wakalazimika kuachana nazo. Pia wapo waliotangulia mbele ya haki katikati ya mchakato wa uchaguzi mkuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nilipanga kustaafu siasa 2015 -Magufuli

Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa Chato mkoani Geita jana. (Picha na Adam Mzee wa CCM).MGOMBEA urais mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema kama si kuombwa kuwania urais, alipanga kuachana na siasa mwaka huu, kwani alijiwekea lengo la kuachana na ubunge baada ya kuwa mbunge wa Chato kwa miaka 20 sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, vijana wataimudu mikiki ya siasa 2015?

Mwishoni mwa 2010 na mwanzoni mwa 2011, dunia ilishuhudia mfululizo wa maandamano na kuanguka kwa tawala kongwe hasa katika ulimwengu wa Kiarabu. Maandamano hayo yanaitwa ‘Arabian Spring.’

 

10 years ago

GPL

2015 TUPUNGUZE SIASA, TUFANYE KAZI

Waziri mkuu Mizengo Pinda. LEO ni siku ya pili tangu tumeanza mwaka 2015, ambao utakuwa na pilikapilika nyingi, pengine kuliko ilivyokuwa mwaka uliopita. Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kufika salama, kwa wale ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki, walio majeruhi na wagonjwa, tuwaombee kila dakika. Tumeumaliza mwaka 2014 tukiwa na stress kubwa, maana mambo mengi ya kisiasa yalituachia makovu yasiyofutika, lakini...

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

‘Marufuku siasa katika soka’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga marufuku wadau wake kuelezea hisia zao za kisiasa na kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo yenye nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nini kinawakwaza maprofesa katika siasa?

Sitaki kuamini kuwa ule usemi wa nabii hakubaliki kwao ndiyo unawafanya maprofesa waliowahi kuteuliwa katika baraza la mawaziri kukwama kuonyesha ujuzi wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Ushabiki unavyowatesa vijana katika siasa

>Mwamko wa vijana katika siasa ulianza kujitokeza katika kipindi cha uchaguzi wa mwaka 1995. Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbali na mwamko wa vijana ulioibuka ndani yake, pia kilianza kupata upinzani mkali na kutupiwa lawama na kila aina ya kejeli kwa madai ya viongozi wake kukosa sifa za kuongoza nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani