Nimejipanga kuzikabili changamoto- Thania
Unapowazungumzia waimbaji wa taarabu wenye ndoto za kufika mbali, kusimama wenyewe badala ya kubebwa, huwezi kumuacha Thania Msomali ambaye alijiengua kwenye kundi la Mashauzi Clasic ili apate muda wa kufanya kazi zake binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
Kupitia kauli mbiu ya mwaka 2015, tuangalie changamoto za sekta ya utalii na kutafuta mikakati ya kuzikabili
Ni siku chache tu zimepita, Tanzania imesheherekea siku ya utalii duniani kwa kauli mbiu “Mamilioni ya watalii ni mamilioni ya fursa” ambapo kauli mbiu hii imekuwa na lengo zuri la kuweka vipaumbele vya kimaendeleo katika sekta ya utalii Tanzania.
Tanzania, kati ya nchi za Umoja wa Mataifa, huadhimisha siku kuu hii kila tarehe 27 ya mwezi Septemba ya kila mwaka, kwa lengo kubwa la kuhamasisha uelewa juu ya sekta ya utalii na mchango wake katika jamii.
Ban Ki-moon, Katibu mkuu wa Umoja wa...
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Inawezekana kuzikabili kero za uandikishaji BVR
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Tanzania kuzikabili timu pinzani Afrika
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Man United kuzikabili Barca na Psg
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Tuiandae vyema Stars kuzikabili Nigeria, Misri
10 years ago
Habarileo22 Oct
January-Nimejipanga kushinda urais 2015
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema hakuna mwanasiasa yeyote anayemhofia kuwa kikwazo katika harakati zake za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kutangaza nia hiyo Aprili mwaka huu. Januari alitangaza nia hiyo alipokuwa akihojiwa katika kituo cha Dira ya Dunia kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Tibaijuka: Nimejipanga kutimiza ahadi zangu
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema mikakati aliyojiwekea kwa sasa ni kutimiza ahadi alizowapa wapigakura na kutekeleza Ilani ya Uchanguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Aliyasema hayo kwenye ziara ya Rais Jakaya Kikwete mikoa ya kusini mwa Tanzania, ambako walipokewa kwa shangwe na kundi la wananchi kutokana na kufanikiwa kutatua kero nyingi za ardhi zilizokuwa katika maeneo yao.
Utatuzi huo ulihusisha pia kumnyang’anya ardhi mwekezaji...
10 years ago
Bongo502 Feb
Barakah Da Prince: Nimejipanga kuendelea kufanya vizuri
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7PqW0cvpctWv73lv5Mkbrh4BoqLVbQU-9w16R6BDpjqKQmZ5X4jaNVBIC3i6sxwXdE6ONxln-6d1OdDKKcqToG7/wolper.jpg?width=650)
WOLPER: NIMEJIPANGA VILIVYO USIKU WA MATUMAINI 2014