Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kuzikabili timu pinzani Afrika

Tanzania itachagua timu ya taifa ya mpira wa wavu mwishoni mwa mwezi huu kwa ajili ya michuano ya ufukweni ya Kanda ya 5 Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeshirikiana na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland ya Uingereza katika uzinduzi wa utangazaji utalii wa Tanzania pamoja na uhamasishaji wa uwekezaji na maendeleo ya michezo (Destination Partner in Tourism and Sports Development). Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 29 Novemba, 2014 kwenye kiwanja cha “Stadium of Light”, kinachomilikiwa na Sunderland Association Football Club (SAFC).

Tukio hilo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Peter...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pande pinzani zalaumiwa Sudan Kusini

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu mzozo wa Sudan Kusini yasema pande pinzani nchini humo ni za kulaumiwa katika mzozo uliozuka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi kutopendelea pande pinzani Burundi

Jeshi nchini Burundi linasema kuwa litaendelea kuwa na msimamo wa wastani

 

10 years ago

Mwananchi

Timu kumi zafuzu Afrika

Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi sita zilizofuzu katika michezo ya juzi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2015) na hivyo kufikisha idadi ya nchi 10 ambazo tayari zimefuzu kabla ya mechi za mwisho zitakazochezwa keshokutwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu za Afrika zaangushwa Brazil

Timu mbili za mwisho za Afrika katika kombe la duniua zimeondoka Brazil baada ya kushindwa katika awamu ya timu bora kumi na sita.

 

9 years ago

Habarileo

Timu ya Afrika kuondoka kwa mafungu

TIMU ya Tanzania itakayoshiriki katika mashindano ya Mataifa ya Afrika yatakayofanyika Brazzaville, Congo itaondoka kwa awamu tatu, imeelezwa. Tanzania katika michezo hiyo itakayoanza Septemba 4 hadi 19 itawakilishwa na timu za ngumi, kuogelea, soka la wanawake (Twiga Stars), Paralympic, riadha na judo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia:Timu 3 za Afrika zashindwa

Timu tatu kutoka Afrika ziliambulia kichapo katika kombe la dunia la mpira wa pete

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu za Afrika kufungua kampeini leo

Baada ya Brazil kufungua dimba ,leo ni zamu ya wawakilishi wa Afrika Cameroun .

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Algeria ni timu bora Afrika

Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani