Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi kutopendelea pande pinzani Burundi

Jeshi nchini Burundi linasema kuwa litaendelea kuwa na msimamo wa wastani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Pande pinzani zalaumiwa Sudan Kusini

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu mzozo wa Sudan Kusini yasema pande pinzani nchini humo ni za kulaumiwa katika mzozo uliozuka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Burundi halihitaji jeshi la AU

Hatua hiyo imepingwa vikali na serikali ya rais Pierre Nkurunziza, ikitaja kikosi hicho kuwa cha kigeni kinachovamia taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi

Jeshi la Burundi limetawanywa nchini humo kujaribu kukabiliana na wale wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania muhula wa tatu.

 

9 years ago

GPL

MKUU WA JESHI MSTAAFU WA BURUNDI AUAWA

Chief Colonel Jean Bikomagu, enzi za uhai wake. Mkuu wa Jeshi Mstaafu wa Burundi aliyongoza mapigano ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, Chief Colonel Jean Bikomagu ameuawa kwa kushambuliwa na risasi nyumbani kwake leo na watu wasiojulikana. Mmoja wa wanafamilia alikiambia chombo kimoja cha habari mjini Bujumbura kuwa, Jean Bikomagu alivamiwa na watu wasiojulikana mapema leo nyumbani kwake Wilaya ya Kinindo, Kusini mwa Mji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuzikabili timu pinzani Afrika

Tanzania itachagua timu ya taifa ya mpira wa wavu mwishoni mwa mwezi huu kwa ajili ya michuano ya ufukweni ya Kanda ya 5 Afrika.

 

9 years ago

StarTV

 Watanzania wahimizwa kupuuza taarifa za uzushi zitolewazo na vyama pinzani.

Katika harakati za kuahakikisha Chama cha mapinduzi kinaingia madarakani kwakumwaga sera zao pamoja na kutoa vipaumbele mbalimbali chama hicho kimeonyesha kupuuzia taarifa zinazoenezwa na baadhi ya vyama vya kisiasa hapa nchini wakati wakiwa katika harakati za kutafuta kura

Chama hicho cha mapinduzi kimewahimiza Watanzania kutoshawishiwa na baadhi ya wanasiasa wanaodaiwa kueneza taarifa zisizo na misingi yoyote kwa taifa.

Katika kampeni za kunadi sera za chama hicho Mkoani Tabora CCM...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania

_82974623_027185739-1Pierre Nkurunziza -Pichani

 Na MASHIRIKA YA HABARI

Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.

Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.

Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.

Meja...

 

10 years ago

Mwananchi

Mawifi pande zote mpendane

Makalio ya sufuria hayaogopi moto; mchana inzi na usiku mbu; mawifi liwe liwalo tutaolewa tu na kaka zenu. Mpo hapo? Basi kero za nini na mlikuwa wapi wakati kaka zenu walipotutafuta, kutupenda hatimaye kutuoa? Mwakwetu, hilo ni tamko la Jamila kwao ‘mawifi’ wakorofi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pande hasimu zakubaliana Libya

Mjumbe wa umoja wa mataifa nchini Libya anasema kuwa wawakilishi wa serikali mbili zinazozana nchini humo wameafikia makubaliano ya kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani