Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi halihitaji jeshi la AU

Hatua hiyo imepingwa vikali na serikali ya rais Pierre Nkurunziza, ikitaja kikosi hicho kuwa cha kigeni kinachovamia taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hili la Afrika Kusini halihitaji siasa

Habari zenu ndugu wanadarasa huru. Kwa wale ambao Maulana ametujalia kuiona siku ya leo, hatuna budi kumshukuru kwa baraka na rehema zake kwetu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi

Jeshi la Burundi limetawanywa nchini humo kujaribu kukabiliana na wale wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi kutopendelea pande pinzani Burundi

Jeshi nchini Burundi linasema kuwa litaendelea kuwa na msimamo wa wastani

 

9 years ago

GPL

MKUU WA JESHI MSTAAFU WA BURUNDI AUAWA

Chief Colonel Jean Bikomagu, enzi za uhai wake. Mkuu wa Jeshi Mstaafu wa Burundi aliyongoza mapigano ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, Chief Colonel Jean Bikomagu ameuawa kwa kushambuliwa na risasi nyumbani kwake leo na watu wasiojulikana. Mmoja wa wanafamilia alikiambia chombo kimoja cha habari mjini Bujumbura kuwa, Jean Bikomagu alivamiwa na watu wasiojulikana mapema leo nyumbani kwake Wilaya ya Kinindo, Kusini mwa Mji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania

_82974623_027185739-1Pierre Nkurunziza -Pichani

 Na MASHIRIKA YA HABARI

Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.

Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.

Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.

Meja...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

ReliefWeb

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi  ReliefWeb

 

9 years ago

StarTV

Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi

 

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani