Burundi halihitaji jeshi la AU
Hatua hiyo imepingwa vikali na serikali ya rais Pierre Nkurunziza, ikitaja kikosi hicho kuwa cha kigeni kinachovamia taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Hili la Afrika Kusini halihitaji siasa
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi
10 years ago
BBCSwahili03 May
Jeshi kutopendelea pande pinzani Burundi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/CMcp8qCUwAA87Qk.jpg)
MKUU WA JESHI MSTAAFU WA BURUNDI AUAWA
10 years ago
Dewji Blog13 May
Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania
Pierre Nkurunziza -Pichani
Na MASHIRIKA YA HABARI
Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.
Meja...
10 years ago
AllAfrica.Com19 May
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
East African Business Week
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
5 years ago
ReliefWeb17 Feb
Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi
9 years ago
StarTV23 Dec
Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi
Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...