Nina virusi vya Ukimwi, akiri Charlie Sheen
Muigizaji nguli wa Hollywood, Charlie Sheen amejitokeza wazi na kufichua kuwa anaugua virusi vya ukimwi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mwanamke anayetetea walio na virusi vya Ukimwi
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TBL WALIOPIMWA VIRUSI VYA UKIMWI WAZAWADIWA
9 years ago
MichuziASILIMIA 75 YA WANAWAKE HUKUTWA WAKIWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI
IMEELEZWA kuwa chanzo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uFzgqouAkg0/XmlEGyRG8II/AAAAAAALiqk/ka1dKqYIMvAWt5ZZLnuM7m9cxMPBVUsxQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4751-04.19.50aAAA-768x846.jpg)
MAJALIWA APEWA KITABU NA MBUNGE WA ZAMBIA ANAYEISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uFzgqouAkg0/XmlEGyRG8II/AAAAAAALiqk/ka1dKqYIMvAWt5ZZLnuM7m9cxMPBVUsxQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_4751-04.19.50aAAA-768x846.jpg)
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Nimekamatwa kwa kudanganya kwamba nina corona kwenye Facebook
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UxdX9JNxALI/XoXXnD4roVI/AAAAAAALl1w/tNCk00jUJE44WkVLPwIGfVgbhAn3ZMPOgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1AAA-768x531.jpg)
NAIBU SPIKA AKABIDHIWA TUZO NA BARAZA LA WATU WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UxdX9JNxALI/XoXXnD4roVI/AAAAAAALl1w/tNCk00jUJE44WkVLPwIGfVgbhAn3ZMPOgCLcBGAsYHQ/s640/PIC-1AAA-768x531.jpg)
Naibu Spika Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akipokea tuzo maalum ya kuthamini mchango wake katika kupambana na Ukimwi na Kifua kikuu nchini iliyotolewa na Chama cha Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi nchini (NACOPHA) na kukabidhiwa kwake na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi Mheshimiwa Oscar Mukasa hii leo Jijini...
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Dkt. Kone asema maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI mkoani Singida yazidi kuongezeka
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI yaliyofanyika katika kijiji cha Sepuka wilaya ya Ikungi.Kaimu mkuu huyo wa mkoa, amesema kuwa jumla ya waathirika wa VVU 17,720 mkoani hapa, 12,286 wameandikishwa kwa ajili ya kupatiwa dawa za kufumbaza virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa UKIMWI.
Na Nathaniel Limu.
Jumla ya watu 17,720 mkoani Singida wanaoishi na Virusi vya Ukimwi walioandikishwa hadi...
9 years ago
Bongo501 Dec
TACAIDS yadai mastaa wapo kwenye hatari zaidi ya kuathirika na virusi vya Ukimwi (Video)
![Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mwenyekiti-wa-Tume-ya-Kudhibiti-Ukimwi-TACAIDS-Dr.-Fatma-Mrisho-300x194.jpg)
Wakati dunia leo inaadhimisha siku ya Ukimwi duniani, December 1, Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini, (TACAIDS) imesema watu maarufu wakiwemo wasanii ni watu walio kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na ushawishi wao na hivyo wanatakiwa kupewa elimu.
Mwenyekiti wa TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho
Akizungumza na taasisi ya Global Shapers Community Dar es Salaam, Mwenyekiti TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, alisema ushawishi wa wasanii hao unawafanya watamaniwe na watu...