WAFANYAKAZI WA TBL WALIOPIMWA VIRUSI VYA UKIMWI WAZAWADIWA
Mgeni rasmi Ofisa Uendeshaji, Rasirimali watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Collins Constantine, akishishirikiana na wafanyakazi wenzake wa TBL kuwasha mishumaa kuwakumbuka wenzao waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ukimwi.
Mgeni Ofisa Uendeshaji, Rasirimali watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Collins Constantine akikabidhi zawadi ya jiko la gesi kwa Christopher Mchome, baada ya kushinda bahati nasibu ya wafanyakazi waliopima afya zao, wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi, Dar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Wafanyakazi TBL Group waadhimisha Siku ya UKIMWI duniani kwa kupima afya zao
Mfanyakazi wa Kampuni ya TBL; kiwanda cha kuzalisha pombe kinywaji aina ya Chibuku kilichopo Ubungo Dar es Salaam,Reocatus Hanania akipewa ushauri nasaha na akimsikiliza mtoa ushauri nasaha kutoka Kampuni ya bima ya Afya ya Metropolitan; Aurelia Kanambi kabla ya kupima Virusi vya Ukimwi ikiwa ni sehemu ya maadhimishao ya siku ya Ukimwi Duniani. TBL kila mwaka ambapo Kampuni ya kutengezea bia (TBL) hiyo kila mwaka huadhimisha siku hiyo kwa kualika wataalamu wa afya kwa ajili ya kutoa...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wafanyakazi wa TBL Group watunukiwa vyeti vya ufanisi
Mkurugenzi wa kampuni ya TBL Group,Roberto Jarrin akiwa katika picha na baadhi ya wafanyakazi waliotunukiwa tuzo ya you Make the Difference katika kiwanda cha Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group, Roberto Jarrin (Kushoto) akiwa na mfanyakazi wa kitengo cha ufundi wa kiwanda cha Mbeya Godwin Kambi baada ya kumtunukia cheti kwa kufanyia kazi kiwandani hao kwa kipindi cha miaka 15.Hafla ya kuwatunuku wafanyakazi vyeti ilifanyika hivi karibuni kiwandani hapo.
Margaret Simon Mlwale...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--yn4Bd1mUAw/XmasGwrhpGI/AAAAAAALiVs/WvVZFEOg_SQSG9mjC42X0Vjl7_e16LFXwCLcBGAsYHQ/s72-c/2689c348-c506-41a5-88c3-3f65fa25a26d.jpg)
Wasambazaji bora wa bidhaa za TBL wazawadiwa magari na tuzo
Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) chini ya Kampuni ya kimataifa ya ABInBEV, imekutana jijini Dar es Salaam na wasambazaji wa bidhaa zake kutoka nchini pote kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuboresha zaidi usambazaji sambamba na kuwashukuru ambapo wasambazaji bora 2 wamejipatia zawadi ya magari ya kubeba mizigo kwa ajili ya kurahisisha usambazaji wa bidhaa kwa wateja na wasambazaji wengi wamejipatia vyeti na vikombe vya kutokana na...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mwanamke anayetetea walio na virusi vya Ukimwi
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Nina virusi vya Ukimwi, akiri Charlie Sheen
9 years ago
MichuziASILIMIA 75 YA WANAWAKE HUKUTWA WAKIWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI
IMEELEZWA kuwa chanzo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uFzgqouAkg0/XmlEGyRG8II/AAAAAAALiqk/ka1dKqYIMvAWt5ZZLnuM7m9cxMPBVUsxQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4751-04.19.50aAAA-768x846.jpg)
MAJALIWA APEWA KITABU NA MBUNGE WA ZAMBIA ANAYEISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uFzgqouAkg0/XmlEGyRG8II/AAAAAAALiqk/ka1dKqYIMvAWt5ZZLnuM7m9cxMPBVUsxQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_4751-04.19.50aAAA-768x846.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UxdX9JNxALI/XoXXnD4roVI/AAAAAAALl1w/tNCk00jUJE44WkVLPwIGfVgbhAn3ZMPOgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1AAA-768x531.jpg)
NAIBU SPIKA AKABIDHIWA TUZO NA BARAZA LA WATU WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UxdX9JNxALI/XoXXnD4roVI/AAAAAAALl1w/tNCk00jUJE44WkVLPwIGfVgbhAn3ZMPOgCLcBGAsYHQ/s640/PIC-1AAA-768x531.jpg)
Naibu Spika Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akipokea tuzo maalum ya kuthamini mchango wake katika kupambana na Ukimwi na Kifua kikuu nchini iliyotolewa na Chama cha Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi nchini (NACOPHA) na kukabidhiwa kwake na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi Mheshimiwa Oscar Mukasa hii leo Jijini...