Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NISCO: Kimbilio la taasisi nyeti za umma, binafsi

KATIKA nchi ya Afrika Kusini kampuni za ulinzi binafsi ndizo zinazoongoza kutoa huduma ya ulinzi na kutangaza uhalifu unaojitokeza. Shabaha ya kufanya hivyo ni kutaka jamii iwe makini na kuweza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWEKA UTARATIBU UTAKAOWEZESHA TAASISI ZA UMMA NA WATU BINAFSI KUACHA KUAGIZA KADI ZA KIELETRONIKI NJE YA NCHI


MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati alipotembelea Kiwanda cha Kuzalisha Vocha na Kadi mbalimbali kilichopo cha Rushabh Investment Limited cha Jijini Tanga wakati wa ziara yake kuona namna wanavyoendelea na uzalishaji kulia ni Mwekezaji wa Kiwanda hicho Rashid Liemba.
Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto akikagua kadi mbalimbali ikiwemo za Kadi za Mpiga kura,Benki na Kadi za NHIF na vyenginezo zilizokuwa zikitoka kwenye mashine za kutengenezea kwenye kiwanda cha...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akutana na taasisi nyeti

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne wa taasisi nyeti tofauti kuhusu mambo mbalimbali ya mustakabali wa Serikali yake ya awamu ya tano.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi nyeti zatakiwa kuilipa Tanesco madeni

VIONGOZI wanaosimamia taasisi nyeti na zenye madeni makubwa ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa madeni hayo ya umeme ili kutoa nafasi kwa shirika hilo kujisimamia na kujiendesha.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZIELEKEZA TAASISI ZA UMMA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MWAKA 2020 KWA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA WADAU

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akitoa maelekezo ya namna ya kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2020 mapema leo, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb).

***********************************

Na: James Mwanamyoto – Dodoma

Tarehe 14 Juni, 2020

Taasisi za umma nchini zimeelekezwa kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma...

 

11 years ago

Michuzi

OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akifungua mkutano wa wadau kuhusu Mikataba ya Utendaji Kazi katika Taasisi za Umma katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Mkutano huo uliandaliwa mahsusi ili wadau waweze kufahamu mambo muhimu juu ya Mfumo wa Mikataba ya Utendaji Kazi hususan chimbuko, maana na faida zake, mambo ya msingi yatakayofanikisha utekelezaji wa mfumo huo, fomu ya mkataba wa utendaji kazi na vipengele vyake, vigezo vya upimaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Sekta za umma, binafsi nchini zahitaji mkakati

Sekta binafsi inatakiwa kushirikishwa kikamilifu katika utekelezaji wa mpango wa pamoja wa ushirikiano baina yake na sekta ya umma (PPP), ili kukabiliana na changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake.

 

10 years ago

Habarileo

Katavi wahimizwa ushirikiano sekta ya umma, binafsi

MPANGO wa ushirikiano kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (PPP) umetajwa kama chachu muhimu itakayosaidia katika ukuaji wa maendeleo ya kijamii na uchumi wa mkoa mpya wa Katavi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sekta binafsi, umma zatakiwa kutumia fursa

WADAU wa sekta ya umma na binafsi mkoani hapa, wametakiwa kutumia fursa zilizopo kujiimarisha kibiashara na kutoa maendeleo. Mkuu wa Mkoa huo, Kapteni Mstaafu Assery Msangi, alitoa rai hiyo hivi...

 

5 years ago

Michuzi

Majadiliano Sekta ya Umma na Binafsi Chachu Ukuaji wa Uchumi


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge (kulia) pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa, Dkt. Godwill Wanga (kushoto) baada ya uzinduzi wa Muongozo wa majadiliano kati ya sekta ya Umma na Binafsi katika ngazi ya Mikoa na Wilaya uliofanyika leo jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani