NISHA BWANA MPYA, GARI MPYA
![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT8GpvbD6zRRknefWFAk1J4nQMzBF-HNjv3koC*vMLY2SwFkbLoS6sfYXn2giPb1P5b7LHGKGwFOnfsqsE67tJ9/nisha.jpg?width=650)
Mwaka huu umekuwa wa mafanikio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ kutokana na kuvuta ndinga mpya na huku akidaiwa kutoka na mwanaume mpya. Msanii wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Kikizungumza na Ijumaa, chanzo ambacho ni jarani wa msanii huyo kilisema licha ya Nisha kuendesha mkoko huo aina ya Toyota Harrier, sasa anatoka na mwanaume mwingine ambaye mara kadhaa wamekuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfVcrFjlngfWMBYzbvVUsciyRq9uQwh7HCTC5E5a-8w0NfQumOQ1oheQj2L06ddgyzhz87X4RbGLUxZoDpEyjPUv/mahaba.jpg)
LICHA YA KUPATA BWANA MPYA; JOHARI: SIACHANI NA RAY!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7zokD6z9IqXGcm7lQk-PZU8C56ZA15Ggxf11dCb4n6JhdgpsnUqyX0ja8e3q7p8NQrpfVZfW99Yl28cvsELw2S/BACKIJUMAA.gif?width=650)
NISHA AMFUATA BWANA CHINA
9 years ago
Bongo Movies19 Nov
Sajent na Nisha Wamgombea Bwana
WAIGIZAJI wa filamu Bongo, Husna Iddi ‘Sajent’ na mwenzake Salima Jabu ‘Nisha’ wanadaiwa kuwa katika ugomvi mkubwa kumgombea msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Barakah Andrew ‘Barakah Da Prince’
Chanzo makini kilicho karibu na wasanii hao kinasema Sajenti ndiye aliyeingilia kati penzi la wawili hao baada ya ujumbe wake wa simu kukutwa katika simu ya mkali huyo wa Bongo Fleva ambaye amekuwa katika uhusiano na Nisha kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
“Kuna siku Nisha alifuma meseji kwenye simu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCm1*EQtJ22XeONN0o5kb8C2zJ7yBy62FLTOepbU9MId*-123CXesMvT6MCMlUz5GE97R-g9Y34OA-LgoN-gKUKt/1copy.jpg?width=650)
NISHA AMNADI BWANA’KE
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
Bonge La Bwana “JB” On Set Kwa Movie Mpya-KALAMBATI LOBO
Mwigizaji na muongozaji nguli wa filamu hapa Bongo, Jacob Stephen aka JB, ameonekana akiwa “On Set”aki-shoot filamu yake mpya ambayo inakwenda kwa jina la KALAMBA LOBO ambayo hakufafanua inatoka lini.
JB ambae pia ni mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Film Company ambayo ndio inategeneza filamu hiyo alitupia mtandaoni picha hizo hapo juu na kuandika.
“New Movie. Kalambati Lobo.On Set”
Tuendelee kuisubiri!!!!
9 years ago
Bongo502 Oct
Rita Ora ana ‘bwana’ mpya, ni huyu jamaa (Picha)
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Hizi salamu za heri ya mwaka mpya toka kwa Nisha na Zamaradi zinatuhusu sote
Tukiwa tumebakiza siku chache tu kabla ya kumalizika kwa mwaka 2014. Mastaa hawa wawili toka tasnia ya filamu nchini wametoa salamu hizi za mwisho wa mwaka ambazo zinamhusu kila mtu. Ukitafakari vizuri na kuamua kufanyia kazi yaliyosema linaweza kuwa jambo la maana sana kwako.
Salma Jabu - Nisha
"Kila binaadam anaijua leo kesho haijui,tumebakisha siku chache inshaallah mwaka uishe,sijui km ntafika au sifiki. Kikubwa leo hii ambayo nimeiona naomba nichukue fursa hii kumuomba msamaha...
10 years ago
Michuzi17 Aug
JAJI BWANA NDIYE MWENYEKITI MPYA BARAZA LA CHUO KIKUU HA BAGAMOYO (UB)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-RQyKwQabheA%2FU_CNF1yyxNI%2FAAAAAAABFiQ%2F61_VdeDCDOU%2Fs1600%2Fimage.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Wetu
BODI ya Wadhamini ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), imemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa nchini, Dk.Stephen Bwana Kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la chuo hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Mikocheni Dar Es Salaam, Dk.William Kudoja alisema Bodi ya Wadhamini ya chuo hicho ambayo Inaongozwa na Professa Paramaganda Kabudi Ndiyo ilimteua Jaji Bwana kushika wadhifa huo mpya baada ya kuona Ana sifa za vigezo Vya...