Njia bora za kujiwekea akiba kwa ajili ya faida ya baadaye
Taifa lenye akiba ya kutosha na uchumi imara linakuwa na uwezo katika kujiletea maendeleo na hata kustahimili majanga yoyote yanapotokea. Nguvu hiyo inatokana na uwezo mkubwa wa akiba na mtaji iliyowekezwa kwenye miradi mikubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Exim yahamasisha kujiwekea akiba
BENKI ya Exim Tanzania mwishoni mwa wiki ilifanya droo ya kwanza ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ili kuwahamasisha wananchi kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba.
Droo hiyo iliyosimamiwa na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, ni ya kwanza kati ya sita zinazotarajiwa kuendeshwa katika kampeni hiyo.
Akizungumza wakati wa kufanyika kwa droo hiyo, Meneja Bidhaa wa Benki ya Exim, Aloyse Maro, alisema kampeni hiyo ni sehemu ya jitahada za benki kuwapatia wateja wake faida zaidi pamoja...
10 years ago
Habarileo30 Jul
Wasanii watakiwa kujiwekea akiba
WASANII nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba katika mifuko mbalimbali ya jamii kwani kufanya hivyo kutawasaidia katika maisha yao baada ya kustaafu kazi zao au wanapokuwa hawana tena uwezo wa kufanya kazi.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Wanawake waaswa kujifunza kujiwekea akiba
11 years ago
Mwananchi25 Dec
SSRA yawashauri watu kujiwekea akiba
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JSP8AYlro2M/Vbfe40RecjI/AAAAAAAAtcM/N2CVA-byRzg/s72-c/1.jpg)
Wasanii waelezwa umuhimu wa kujiwekea akiba
![](http://4.bp.blogspot.com/-JSP8AYlro2M/Vbfe40RecjI/AAAAAAAAtcM/N2CVA-byRzg/s400/1.jpg)
Hayo yalisemwa na msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini Bakari Mbelemba maarufu kwa jina la Mzee Jangala wakati akizungumza katika Jukwaa la na Sanaa lililofanyika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.
Mzee ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3XZTPjbLZuzzq34ezxHPtECc9Kqw-S79TqbjV8njx382q6kcURDC80LnfbBTYOlrndeue-3VJjAn6Mc7aIAiNP/Womancomputerupset1.jpg?width=650)
UNAJIAMINI NINI HADI UJINYIME KWA AJILI YA MAISHA YA BAADAYE?
10 years ago
MichuziMAAFISA RASILIMALI WATU TOKA WILAYA YA ILALA WAGUSWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
11 years ago
GPLWASANII WAPEWA SOMO KUHUSU KUJIWEKEA AKIBA YA UZEENI