Nooij: Viungo wametumaliza
WAKATI Kocha wa Msumbiji, Joao Chissano, akifurahia sare ya 2-2 dhidi ya Taifa Stars, mwenzake Mart Nooij amelaumu safu ya kiungo kushindwa kuwajibika ipasavyo katika mechi hiyo. Akizungumza baada ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Viungo wamnyima usingizi Nooij
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
10 years ago
TheCitizen18 Jun
Nooij bolsters striking force
10 years ago
TheCitizen22 Jun
Kihwelu: Nooij a sacrificial lamb
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Cannavaro, Nooij wamtosa Ronaldo
10 years ago
Mtanzania22 May
Kibarua cha Nooij shakani
ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Mart Nooij raia wa Uholanzi, yupo shakani kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya aliyopata kwenye michuano ya Kombe la Cosafa.
Stars imeambulia vipigo kwenye mechi mbili za awali za Kundi B la michuano hiyo na timu ndogo Swaziland (1-0) na Madagascar (2-0), leo itamalizia ratiba kwa kuchuana na Lesotho iliyoko juu yake.
Habari za ndani zilizoifikia MTANZANIA jana zimeeleza kuwa,...
11 years ago
TheCitizen27 Jul
To sail through, Nooij should revisit tactics
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Nooij atamba kuifunga Misri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mart Nooij, amewatoa hofu Watanzania kwa kuwahakikishia kuwa kikosi chake kitaibuka na ushindi dhidi ya timu ya Misri, katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2017, mchezo utakaopigwa Juni 14, katika uwanja wa Borg El Arab, jijini Alexandria.
Jumla ya msafara wa watu 34 uliondoka jana kuelekea Addis Ababa, nchini Ethiopia, kuweka kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo huo, wakiwemo...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Nooij aita tisa Stars