Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nooij: Viungo wametumaliza

WAKATI Kocha wa Msumbiji, Joao Chissano, akifurahia sare ya 2-2 dhidi ya Taifa Stars, mwenzake Mart Nooij amelaumu safu ya kiungo kushindwa kuwajibika ipasavyo katika mechi hiyo. Akizungumza baada ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Viungo wamnyima usingizi Nooij

Kocha wa Taifa Stars, Martinus Nooij amehamishia nguvu zake katika kuisuka upya safu ya kiungo ya timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anapata matokeo mazuri katika pambano la marudiano dhidi ya Zimbabwe litakalochezwa Juni Mosi jijini Harare.

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

 

10 years ago

TheCitizen

Nooij bolsters striking force

Dar es Salaam. Under-fire Taifa Stars head coach Mart Nooij has reinforced his squad with addition of five forwards for the Champions of African Nations Cup (Chan) qualifier against Uganda.

 

10 years ago

TheCitizen

Kihwelu: Nooij a sacrificial lamb

Dar es Salaam. Mart Nooij may have gone after a career-damaging spell in Tanzania, but Taifa Stars’ post Dutchman’s era still looks gloomy.

 

10 years ago

Mwananchi

Cannavaro, Nooij wamtosa Ronaldo

Nahodha wa Yanga na Tanzania, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ni mmoja wa manahodha watatu kati ya 82 waliopiga kura ya kumchagua Lionel Messi kuwa mwanasoka bora wa mwaka.

 

10 years ago

Mtanzania

Kibarua cha Nooij shakani

ABDUCADO EMMANUEL NA MWALI IBRAHIM, DAR

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Mart Nooij raia wa Uholanzi, yupo shakani kuendelea kukinoa kikosi hicho kutokana na matokeo mabaya aliyopata kwenye michuano ya Kombe la Cosafa.

Stars imeambulia vipigo kwenye mechi mbili za awali za Kundi B la michuano hiyo na timu ndogo Swaziland (1-0) na Madagascar (2-0), leo itamalizia ratiba kwa kuchuana na Lesotho iliyoko juu yake.

Habari za ndani zilizoifikia MTANZANIA jana zimeeleza kuwa,...

 

11 years ago

TheCitizen

To sail through, Nooij should revisit tactics

Mart Nooij’s tactics are to blame for Taifa Stars’ failure to beat Mozambique in the Nations Cup second round, first leg qualifier in Dar es Salaam a week ago.

 

10 years ago

Mtanzania

Nooij atamba kuifunga Misri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mart Nooij, amewatoa hofu Watanzania kwa kuwahakikishia kuwa kikosi chake kitaibuka na ushindi dhidi ya timu ya Misri, katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2017, mchezo utakaopigwa Juni 14, katika uwanja wa Borg El Arab, jijini Alexandria.

Jumla ya msafara wa watu 34 uliondoka jana kuelekea Addis Ababa, nchini Ethiopia, kuweka kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo huo, wakiwemo...

 

11 years ago

Mwananchi

Nooij aita tisa Stars

>Baada ya kuishudia Taifa Stars ikicheza kiwango kibovu na kunyukwa 3-0 na Burundi Jumamosi kocha mpya wa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi itakayochezwa Mei 4, kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani