Nooij atamba kuifunga Misri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mart Nooij, amewatoa hofu Watanzania kwa kuwahakikishia kuwa kikosi chake kitaibuka na ushindi dhidi ya timu ya Misri, katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2017, mchezo utakaopigwa Juni 14, katika uwanja wa Borg El Arab, jijini Alexandria.
Jumla ya msafara wa watu 34 uliondoka jana kuelekea Addis Ababa, nchini Ethiopia, kuweka kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo huo, wakiwemo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Sep
‘Yanga kuifunga Simba’
MSHAURI wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdallah Kibaden, ameipa nafasi kubwa klabu ya Yanga kushinda pambano la watani wa jadi Simba na Yanga litakalofanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Sherman aota kuifunga Simba
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Yanga yatamba kuifunga Platinum FC
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Azam watamba kuifunga KCC ya Uganda
9 years ago
Habarileo22 Nov
Kili Stars yatamba kuifunga Somalia
Grace Mkojera TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ leo inashuka dimbani mjini Addis Ababa, Ethiopia kuvaana na Somalia katika mchezo wa kwanza kuwania taji la michuano ya Chalenji iliyoanza jana.
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Simba yajinasibu kuifunga Kagera sugar
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Kipimo cha uongozi siyo kuifunga Simba au Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuu4A6r4W9xNFGnlHU3l*inIt81fGkUgvL6c-2qHFK45E4WkwdrLxlh4xxUUARFTvoNDXCH8xXSfCg*MxyL8hsGX/PWEZA.jpg?width=650)
KUTANA NA KASA ALIYEITABIRIA BRAZIL KUIFUNGA CROATIA KESHO