NSSF yaanza rasmi usajili wa vijana Sports academy
Badhi ya wazazi wakiwasimamia watoto wao katika zoezi la kujaza fomu kwa ajili ya kujiunga na kituo kipya cha michezo cha NSSF-Real Madrid Academy. SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa kushirikiana na Klabu ya Real Madrid ya Hispania, limezindua mchakato wa usajili wa vijana walio chini ya umri wa miaka 14, watakaochujwa kusaka nafasi ya kujiunga na NSSF–Real Madrid Sports Academy.
Mchakato huo wa usajili umefanyika leo kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Ilala jijini Dar es...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_2489.jpg?width=650)
NSSF YAANZA RASMI USAJILI WA VIJANA SPORTS ACADEMY
10 years ago
Vijimambo16 Feb
Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lapamba moto
![Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendeleajijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karume.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0083.jpg)
![Zoezi la uandikishaji watoto watakaoshiriki kuingia katika NSSF- Real Madrid Sports Academy likiendelea jijini Dar es Salaam leo katika viwanja vya Karume.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0143.jpg)
![Mmoja wa wazazi waliowaleta watoto wao kwa ajili ya zoezi la uandikishaji Vijana Kuingia NSSF- Real Madrid Sports Academy pamoja na mwanae wakijaza fomu kwa wasimamizi wa zoezi hilo leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0147.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_0083.jpg)
ZOEZI LA UANDIKISHAJI VIJANA KUINGIA NSSF REAL MADRID SPORTS ACADEMY LAPAMBA MOTO
10 years ago
Michuzi16 Feb
Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lazidi kushika kasi
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu maarufu duniani ya mpira wa miguu ya Real Madrid ya Hispania, leo imeendelea na zoezi lake la usajili wa vijana walio na umri wa chini ya miaka 14 watakaofanyiwa majaribio kwa ajili ya kujiunga na kituo cha michezo cha NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY katika uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, huku idadi ya vijana wanaojisajili ikiongezeka.
Mchakato huo wa usajili ulianza Oktoba 14 lakini leo idadi...
10 years ago
MichuziAWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI WA WACHEZAJI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA KITUO CHA MICHEZO CHA NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY WAANZA RASMI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfMof1nH_7Y/VN8a8u-vCHI/AAAAAAABTSE/CxGu9WB8BsI/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 May
NSSF waitandika Fastjet 5-4 kwenye mashindano ya Clouds Sports Extra Bonanza
![SITA - KOCHA](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/SITA-KOCHA.jpg)
![TANO - WARM UP2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/TANO-WARM-UP2.jpg)
9 years ago
MichuziWASTAAFU WA JWTZ WAKIFANYA USAJILI WA NSSF MKOANI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DJpa7bUjDC4/VQFDNrctv6I/AAAAAAAHJu8/PwXaC9xaCgc/s72-c/unnamed.jpg)
TBC yaanza maandalizi NSSF CUP
![](http://2.bp.blogspot.com/-DJpa7bUjDC4/VQFDNrctv6I/AAAAAAAHJu8/PwXaC9xaCgc/s1600/unnamed.jpg)
Katibu wa timu ya TBC, Jesse John alisema vikosi vyake vinajifua usiku na mchana kuhakikisha ukongwe wao katika fani ya habari unaonekana kwa ushindi wa uwanjani.
"Tunaishukuru Kampuni ya Isere kwa kutusaidia vifaa vya michezo...
9 years ago
StarTV17 Nov
Ligi daraja la pili Alliance Sports yaanza vema nyumbani CCM Kirumba.
Hekaheka za kuwania nafasi ya kufuzu kuingia ligi daraja la kwanza Tanzania Bara zimeanza katika uwanja wa michezo wa CCM Kirumba kwa timu ya soka ya Alliance Sports Academy ya Mwanza kumenyana na Madini Fc kutoka mkoani Arusha kwa kundi B
Mchezo huo uliokuwa wa ushindani mkubwa umemalizika kwa Timu ya Alliance kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi mpinzani wake Madini FC ya Arusha.
Mchezo huo uliokuwa na ushangiliaji wa aina yake kwa mashabiki wa timu ya Alliance Sports Academy ya...