Ntagazwa agaragazwa na Mzanzibar Uchaguzi Chadema
Arcardo Ntagazwa.
Na Mwandishi wetu
KWA mara ya kwanza historia imeandikwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumchagua mzanzibar Hashimu Juma Issa kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza kutoka Zanzibar.
Hashimu alishinda katika mzunguko wa pili kwa kura 47 na kumzidi mpinzani wake Arcardo Ntagazwa aliyepata kura 22 kati ya kura 71 zilizopigwa na wajumbe, kura mbili kuharibika.
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika Makao Makuu ya Chadema, Issa alisema kwa kushirikiana na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Nov
Waziri wa Kikwete agaragazwa uenyekiti wa mtaa
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, ameangushwa na Kimwei Mhita (27) katika kinyang’anyiro cha kura za maoni za kumtafuta Mwenyekiti wa Mtaa wa Masaki atakayewakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Waziri huyo ambaye alikuwa anatetea kiti hicho ambacho ameshikilia kwa muda mrefu, amejikuta akiangushwa mwishoni mwa wiki na mwanasiasa huyo kijana ambaye hana umaarufu mkubwa katika medani ya siasa za chama hicho akilinganishwa na...
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ekSgJ1pFI3A/Va8pWBOOQXI/AAAAAAABDWI/0wtzzuIhQjw/s72-c/763.jpg)
DK. SHEIN ALIZINDUA TAMASHA LA 20 LA UTAMUDINI WA MZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekSgJ1pFI3A/Va8pWBOOQXI/AAAAAAABDWI/0wtzzuIhQjw/s640/763.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_Dwkl-Ctkg/Va8pWuLmauI/AAAAAAABDWM/JMiSwPSXI5k/s640/765.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OIiZhT9dlno/Va8pW_BaAXI/AAAAAAABDWU/BaJPN0I5S6U/s640/767.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vmyApsdlU34/Va8pZGOglbI/AAAAAAABDWg/R2bWbLJ4keU/s640/768.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RksOJ5lrE2g/Va9PZ-wNpPI/AAAAAAAB2ZM/sQj26HdVMt0/s72-c/725.jpg)
TAMASHA LA MZANZIBAR SALAMA BWAWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-RksOJ5lrE2g/Va9PZ-wNpPI/AAAAAAAB2ZM/sQj26HdVMt0/s640/725.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E1b1u_Zy_kM/Va9M8cuejCI/AAAAAAAB2Yg/DT_WSkFC8jk/s640/763.jpg)
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA TAMASHA LA 20 LA UTAMADUNI WA MZANZIBAR LAFANYIKA JANA
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Mnyukano uchaguzi CHADEMA
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa orodha ya wanachama wake waliojitosa kugombea nafasi mbalimbali za taifa katika mabaraza huku mnyukano mkali ukiwa nafasi za mwenyekiti, makamu mwenyekiti, katibu mkuu,...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Uchaguzi CHADEMA wapongezwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepongezwa kutokana na kuonyesha ukomavu wa kisiasa katika chaguzi zake huku ikiikataa rushwa kwa vitendo bila kuhofu kupoteza wanachama. Akizungumza na Tanzania Daima jana,...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chadema wavutana uchaguzi wa Meya
MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Uchaguzi CHADEMA mfano wa kuigwa
HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepata safu mpya ya viongozi watakaokivusha kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Uchaguzi huo ulikuwa unatazamwa na wachambuzi wa masuala ya kisiasa kama kipimo cha...