Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyukano uchaguzi CHADEMA

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa orodha ya wanachama wake waliojitosa kugombea nafasi mbalimbali za taifa katika mabaraza huku mnyukano mkali ukiwa nafasi za mwenyekiti, makamu mwenyekiti, katibu mkuu,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mnyukano bungeni



Serikali yaipa rungu polisi kudhibiti uhalifuusinde apongeza vinara wa vurugu kupigwaSadifa achafua hali ya hewa, Shekifu ang’aka
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA
MVUTANO kuhusiana na sakata la Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Profesa  Ibrahim Lipumba, kukamatwa na kufunguliwa mashitaka, umeendelea kutikisa bungeni.
Jana, wabunge walipata fursa ya kujadili suala hilo, ambapo wengi waliwashutumu wenzao wa upinzani kutokana na kuchochea vurugu na kulipaka matope jeshi la polisi pindi linapochukua...

 

9 years ago

Mtanzania

Mnyukano Spika wa Bunge

MTZ Alhamisi new july.indd*Dk. Nchimbi, Sitta wachukua fomu na kurudisha

NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

VITA ya kuwania uspika wa Bunge la 11, imeanza kupamba moto ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku vigogo kadhaa wa chama hicho wakichukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

MTANZANIA ambayo ilikuwa imepiga kambi katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam ilishuhudia makada hao wakikabidhiwa fomu na Katibu wa NEC, anayeshughulikia Oganaizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatib jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyukano mpya CCM

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiko njia panda baada ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, kuwarejesha mawaziri ‘mizigo’ waliopendekezwa na chama chake wang’olewe, makundi ya urais yameanza kupigana vikumbo kuwania...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyukano urais chama cha walimu

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania Gratian Mukoba.MCHUANO mkali umeibuka ndani ya Chama cha Walimu Nchini (CWT) baada ya wagombea 28 kujitosa kuwania Urais wa chama hicho chenye nguvu kutokana na kuundwa na idadi kubwa ya watumishi wa umma.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi CHADEMA wapongezwa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepongezwa kutokana na kuonyesha ukomavu wa kisiasa katika chaguzi zake huku ikiikataa rushwa kwa vitendo bila kuhofu kupoteza wanachama. Akizungumza na Tanzania Daima jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajipanga uchaguzi wa udiwani

KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa, amesema chama hicho kitahakikisha kinawapitisha wagombea wanaokubalika kwenye chaguzi za udiwani na wenyeviti wa serikali za vijiji...

 

10 years ago

Mtanzania

Uchaguzi Chadema vurugu tupu

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

SHABANI MATUTU NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.

Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata kupanga mikakati ya kwenda...

 

10 years ago

Tanzania Daima

284 wajitosa uchaguzi CHADEMA

WAGOMBEA watatu wamejitokeza kuchuana na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Septemba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani