NUNUA MAZIWA YA WATOTO KUTOKA UK
![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKiCxBnBsZymjd4rshK7gvvXz*ug084ytsZyCk*cr53NZjwu-V0OLFu6hI7b9c-5b6XtN6jqCXcDkb2amW8i4dGj/IMG20150307WA0030.jpg?width=750)
Maziwa ya watoto ya SMA ni original kutoka Uk. Mawasiliano: 0785…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E6cCEFVovag/VZRhGtMbBFI/AAAAAAAHmT8/B7xbX7cBr_c/s72-c/A4%2BTANGAZO%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jan
Maziwa ya watoto yaadimika
FAMILIA zinazotumia maziwa ya kopo ya Lactogen, ambayo yamesajiliwa hapa nchini kwa ajili ya kutumiwa na watoto wachanga, zina hali ngumu baada ya kuadimika, huku ikielezwa kuwa yatazidi kupotea kwa zaidi ya miezi miwili ijayo.
11 years ago
Habarileo19 Jun
TFDA yatoa hadhari maziwa ya watoto
MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) imehadharisha wafanyabiashara wanaoendelea kuuza bidhaa hususani maziwa zenye picha za watoto ama kutokuwa na maandishi katika Kiswahili na Kiingereza na kusema bidhaa hizo zitakuwa hazijasajiliwa.
10 years ago
Habarileo28 Dec
Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa
CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Popote ulipo unaweza kuzipokea salamu za sikukuu kutoka maziwa ya NIDO
Ni msimu wa sikukuu ya sherehe za mwisho wa mwaka, Christmas na mwaka mpya 2015, kama kuna salamu umezipata kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki… sasahivi ni time ya kukufikishia hizi kutoka kwa watengenezaji wa NIDO. Kampuni ya Nestle ambao ndio watengenezaji wa bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, hivi karibuni imethibitisha kwamba kama umegundua mabadiliko […]
The post Popote ulipo unaweza kuzipokea salamu za sikukuu kutoka maziwa ya NIDO appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jtHIUPpKe6Q/VRxGCK_vJ3I/AAAAAAAAAoY/AZgTeh1YZJA/s72-c/Watoto%2BChoir%2BUSA%2Btour-%2BUganda.jpg)
USIKOSE!!! Tamasha la Uimbaji kutoka kwa Watoto yatima kutoka Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-jtHIUPpKe6Q/VRxGCK_vJ3I/AAAAAAAAAoY/AZgTeh1YZJA/s1600/Watoto%2BChoir%2BUSA%2Btour-%2BUganda.jpg)
Kuhusu Watoto Choir!
Watoto ni mpango kamilifu wa huduma ambao ulianzishwa ili kukabiliana na idadi kubwa ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu nchini Uganda, ambaomaisha yao yamekabiliwa na vita na magonjwa mbalimbaliTembelea tovuti ya Watoto : www.watoto.com
Kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jtHIUPpKe6Q/VRxGCK_vJ3I/AAAAAAAAAoc/_jjPUF2kGzY/s72-c/Watoto%2BChoir%2BUSA%2Btour-%2BUganda.jpg)
USIKOSE!!! Tamasha la Uimbaji kutoka kwa Watoto kutoka Uganda
![](http://3.bp.blogspot.com/-jtHIUPpKe6Q/VRxGCK_vJ3I/AAAAAAAAAoc/_jjPUF2kGzY/s1600/Watoto%2BChoir%2BUSA%2Btour-%2BUganda.jpg)
Kuhusu Watoto Choir!Watoto ni mpango kamilifu wa huduma ambao ulianzishwa ili kukabiliana na idadi kubwa ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu nchini Uganda, ambaomaisha yao yamekabiliwa na vita na magonjwa mbalimbaliTembelea tovuti ya Watoto : www.watoto.comKwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Bodi ya Maziwa na Heifer Internationl wahamasisha unywaji wa maziwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDc_4X2Zon4/U4xG2z7oonI/AAAAAAAFnM8/khWTVoZxCZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTHF2VJUw7k/U4xG32ev_dI/AAAAAAAFnNE/VvNFQPY4XOM/s1600/unnamed+(19).jpg)