Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKOSE!!! Tamasha la Uimbaji kutoka kwa Watoto kutoka Uganda

Save a Date! Weka kwa Kalenda yako! 

Jumanne Mei 12, 2015 Saa moja Kamili Jioni

Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio (IYK) inawakaribisha wote kupata Baraka za Watoto Choir kutoka Uganda! 

Karibu na Mkaribishe Rafiki!!


Kuhusu Watoto Choir!

Watoto ni mpango kamilifu wa huduma ambao ulianzishwa ili kukabiliana na idadi kubwa ya watoto yatima na    wanaoishi katika mazingira magumu nchini Uganda, ambaomaisha yao yamekabiliwa na vita na magonjwa mbalimbaliTembelea tovuti ya Watoto : www.watoto.com

Kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USIKOSE!!! Tamasha la Uimbaji kutoka kwa Watoto yatima kutoka Uganda

Save a Date! Weka kwa Kalenda yako! Jumanne Mei 12, 2015 Saa moja Kamili JioniIbada ya Kiswahili - Columbus, Ohio (IYK) inawakaribisha wote kupata Baraka za Watoto Choir kutoka Uganda! Karibu na Mkaribishe Rafiki!!
Kuhusu Watoto Choir!

Watoto ni mpango kamilifu wa huduma ambao ulianzishwa ili kukabiliana na idadi kubwa ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu nchini Uganda, ambaomaisha yao yamekabiliwa na vita na magonjwa mbalimbaliTembelea tovuti ya Watoto : www.watoto.com

Kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Jeniffer Mgendi: Kutoka uimbaji hadi uigizaji

Wakati akiendelea kutamba na video yake mpya ya “Hongera Yesu”, ambayo imewashirikisha waimbaji na wasanii mbalimbali kama Bahati Bukuku, Godliver Vedastus, Boniphace Mwaitege, Christine Matai na wengineo, Jeniffer Mgendi Juni anatarajia kuachia filamu ya “Shelina”.

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.


  Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group.. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa siku 21 Uganda

Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa wiki tatu Uganda

 

10 years ago

Michuzi

salamu kutoka kwa mama bishanga na shosti yake Julie kutoka Liberia

Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Bi Christina Innocent  Marolen, almaarufu kama "Mama Bishanga",  na mfanya kazi mwenzake kutoka Liberia wanonekana wakiwa kazini, Adern Court Alzheimer Home Care huko Ohio, Marekani, wakifurahia uamuzi wa madaktari watano wa Tanzania wanokwenda kuongeza nguvu ya kusaidia kuwatibu raia wa Liberia, baada ya kusoma taarifa hizo kwenye magazeti ya Tanzania. Julie Blanton ambae alikuja Amerika miaka mingi mara baada ya vita iliotokea Liberia miaka ya themanini na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19

Timu ya madaktari 65 na wauguzi 24 imewatibu wanawake walioambukizwa virusi vya corona nchini India.

 

10 years ago

Michuzi

BASATA KUENDESHA PROGRAM YA MAFUNZO YA SANAA KWA WATOTO WAPATAO 215 KUTOKA WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DAR ES SALAAM

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lenye dhamana ya kufufua, kukuza na kuendeleza Sanaa kwa kushirikiana na taasisi ya Ako’mungoma Poverty Alleviation Organization (APAO) linaendesha programu ya wiki tatu ya Sanaa kwa watoto katika Wilaya ya Temeke Mkoani Dar es Salaam. 
Kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya Utamaduni ya mwaka 1997 sura ya 9.6.16 Baraza linaelekezwa kushirikiana na wadau katika kuendesha matukio mbalimbali ya sanaa  kama programu hii ya watoto. 
Programu hii ya Sanaa kwa watoto ambayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba kuwaacha wachezaji kutoka Uganda?

Simba ya Dar es Salaam huenda ikaachana na wachezaji wageni kutoka Uganda iwapo tu mawazo ya kocha,Goran Kopunovic yatatekelezwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 100 kutoka Asia wanaswa Uganda

Polisi mjini Kampala wamewanasa wahamiaji 100 kutoka bara Asia ambao walikuwa wameletwa na walanguzi wa binadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani