Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kuwaacha wachezaji kutoka Uganda?

Simba ya Dar es Salaam huenda ikaachana na wachezaji wageni kutoka Uganda iwapo tu mawazo ya kocha,Goran Kopunovic yatatekelezwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USIKOSE!!! Tamasha la Uimbaji kutoka kwa Watoto yatima kutoka Uganda

Save a Date! Weka kwa Kalenda yako! Jumanne Mei 12, 2015 Saa moja Kamili JioniIbada ya Kiswahili - Columbus, Ohio (IYK) inawakaribisha wote kupata Baraka za Watoto Choir kutoka Uganda! Karibu na Mkaribishe Rafiki!!
Kuhusu Watoto Choir!

Watoto ni mpango kamilifu wa huduma ambao ulianzishwa ili kukabiliana na idadi kubwa ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu nchini Uganda, ambaomaisha yao yamekabiliwa na vita na magonjwa mbalimbaliTembelea tovuti ya Watoto : www.watoto.com

Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

USIKOSE!!! Tamasha la Uimbaji kutoka kwa Watoto kutoka Uganda

Save a Date! Weka kwa Kalenda yako! 

Jumanne Mei 12, 2015 Saa moja Kamili Jioni

Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio (IYK) inawakaribisha wote kupata Baraka za Watoto Choir kutoka Uganda! 

Karibu na Mkaribishe Rafiki!!


Kuhusu Watoto Choir!

Watoto ni mpango kamilifu wa huduma ambao ulianzishwa ili kukabiliana na idadi kubwa ya watoto yatima na    wanaoishi katika mazingira magumu nchini Uganda, ambaomaisha yao yamekabiliwa na vita na magonjwa mbalimbaliTembelea tovuti ya Watoto : www.watoto.com

Kwa...

 

11 years ago

GPL

Wachezaji: Hatumtaki Loga Simba

Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na John Joseph
TABIA ya ukali uliopitiliza, kutoa lugha kali inawezekana ikawa ni chanzo cha Kocha Zdravko Logarusic kuendelea kukwaruzana na wachezaji wake, ambapo sasa habari kamili ni kuwa, wengi wao hawana amani wanapocheza chini ya kocha huyo. Zdravko Logarusic akiwa na wachezaji wake. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa Loga… ...

 

11 years ago

GPL

Loga asajili wachezaji 25 Simba SC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, ameutaka uongozi wa Wekundu hao wa Msimbazi kusajili wachezaji 25 tu msimu ujao wa ligi kuu ambapo amependekeza kuwa na makipa watatu.
Loga amekabidhi ripoti yake hivi karibuni kabla ya kwenda nchini kwao Croatia kwenye mapumziko huku akisubiri majibu iwapo ataitwa kuendelea na timu hiyo au la ambapo mkataba wake unaisha Juni,...

 

9 years ago

Habarileo

Wachezaji Simba wamtibua Kerr

KOCHA mkuu wa timu ya Simba Dlyan Kerr amesema hajaridhishwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri juzi uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Okwi awagawa wachezaji Simba

BAADHI ya wachezaji wa Simba wameutaka uongozi kuwachukulia hatua wachezaji wenzao kwa utovu wa nidhamu akiwemo nyota wa kimataifa, Mganda Emmanuel Okwi, badala ya kuwaonea baadhi yao. Kauli ya nyota...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba kuwalipa wachezaji wake wa zamani?

Klabu ya Simba imetakiwa kuwalipa wachezaji wake wa zamani akiwemo mchezaji wa kulipwa, Amisi Tambwe kwa kuvunja mikataba yao .

 

10 years ago

Mwananchi

Tambo zatawala wachezaji wa Simba, Yanga

Yanga na Simba zitapambana Oktoba 18 ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba kusajili wachezaji kuziba pengo

Katika kile kinachoonekana ni kuweka mikakati ili kuchukua ubingwa msimu ujao, wekundu wa Msimbazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani