Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu `alilia’ umoja CCM

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewataka WanaCCM kutovurugana kwa sababu tu ya mchakato unaoendelea wa kumtafuta mwanachama atakeyebeba mikoba ya chama hicho katika kuwania urais wa Tanzania baadaye mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NYALANDU: UMOJA WETU NDIO UTATUFANYA TUSONGE MBELE

Waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na aliyewahi kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha, Joshua Kileo (Kulia)  baada ya ibada katika kanisa la KKKT Mjini Kati siku ya Jumapili.************WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema pamoja na mitihani mikubwa ambayo taifa inakabiliana nayo, umoja wa Watanzania utaifanya nchi isonge mbele kama taifa linalozingatia sheria na demokrasia.Akizungumza baada ya Ibada ya Jumapili ya Pili ya Pasaka iliyofanyika...

 

10 years ago

TheCitizen

Let’s debate in CCM: Nyalandu

Dar es Salaam. Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu yesterday called for a wider intra-party debate on succession politics within the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM)

 

10 years ago

Mwananchi

Nyalandu: Urais CCM, Ukawa ni kivumbi

Dar es Salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema uchaguzi wa Rais ajaye utakuwa na ushindani mkubwa ndani na nje ya CCM, huku akibainisha kuwa haogopi mtu kati ya wote wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho, bali anawaheshimu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu apeta kura za maoni CCM

DSC00960

Katibu wa CCM Singida vijijini. Mwanamvua Khamisi Killo, akitangaza matokeo ya uchaguzi ubunge jimbo la Singida kaskazini.(Picha zote na Nathaniel Limu). 

DSC00971

Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini CCM, Lazaro Samwel Nyalandu, akiwashukru baadhi ya wapiga wake kwa kumpa kura za kutosha.Nyuma ni mke wake Faraja Kotta.

DSC00955

Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini kupitia CCM, Lazaro Samwel Nyalandu,akibebwa juu juu na wapiga kura na mashabiki wake kwenye viwanja vya CCM mkoa.

DSC00954

Lazaro Samwel...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu leo kueleza mafanikio ya CCM jimboni

Lazaro NyalanduMBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, leo atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kueleza mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) .

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI NYALANDU; URAIS USIWAGAWE WANA CCM

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana kwa furaha na Waziri mwenzake, Profesa Mark Mwandosya, wakati walipokutana Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi, wakiwa kwenye harakati za kusaka wadhamini mkoani humo. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwaaga baadhi ya wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye Ofisi ya CCM wilayani Mpanda, jana, wakiomba kumdhamini katika harakati zake za kuwania kupeperusha bendera ya Chama katika nafasi ya urais. Nyalandu alikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yamtaka Nyalandu kufuta vibali vya uvunaji

Chama cha Mapinduzi mkoani hapa kimeitaka Serikali kufuta vibali vyote vya uvunaji mbao vilivyotolewa katika msitu wa Sao hill uliopo wilayani Mufindi kutokana na madai kuwa vilitolewa kwa upendeleo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Helikopta ya Nyalandu yanogesha kampeni za Mgombea Mwenza CCM

Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu akiwa jukwaani akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba.

Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu akiwa jukwaani akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba.

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni Taifa, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la Iramba Magharibi akizungumza na wananchi kuinadi ilani ya CCM.

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni Taifa, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la Iramba Magharibi akizungumza na wananchi kuinadi ilani ya CCM.

Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika Jimbo la Iramba Magharibi.

Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika Jimbo la Iramba Magharibi.

Mbunge Nkenge CCM aliyemaliza muda wake, Asumpta Mshana akiinadi ilaya ya CCM

Mbunge Nkenge CCM aliyemaliza muda wake,...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyalandu ajitosa rasmi mbio za Urais kupitia CCM 2015

WAZIRI wa maliasili na utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini(CCM) ,Lazaro Samwel Nyalandu,ametangaza rasmi nia ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani