Nyalandu `alilia’ umoja CCM
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewataka WanaCCM kutovurugana kwa sababu tu ya mchakato unaoendelea wa kumtafuta mwanachama atakeyebeba mikoba ya chama hicho katika kuwania urais wa Tanzania baadaye mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7hz4uf5DBc/VTPCrE5i9KI/AAAAAAAAc8M/Dj7V54CXQwE/s72-c/nyalandu%2B2.jpg)
NYALANDU: UMOJA WETU NDIO UTATUFANYA TUSONGE MBELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7hz4uf5DBc/VTPCrE5i9KI/AAAAAAAAc8M/Dj7V54CXQwE/s1600/nyalandu%2B2.jpg)
10 years ago
TheCitizen19 Mar
Let’s debate in CCM: Nyalandu
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Nyalandu: Urais CCM, Ukawa ni kivumbi
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Nyalandu apeta kura za maoni CCM
Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini CCM, Lazaro Samwel Nyalandu, akiwashukru baadhi ya wapiga wake kwa kumpa kura za kutosha.Nyuma ni mke wake Faraja Kotta.
Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini kupitia CCM, Lazaro Samwel Nyalandu,akibebwa juu juu na wapiga kura na mashabiki wake kwenye viwanja vya CCM mkoa.
Lazaro Samwel...
10 years ago
Habarileo28 Dec
Nyalandu leo kueleza mafanikio ya CCM jimboni
MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, leo atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kueleza mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) .
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-x9yNNl65Wag/VYVnCentcII/AAAAAAABcFE/qfjrj4QQ8yQ/s72-c/kali.jpg)
WAZIRI NYALANDU; URAIS USIWAGAWE WANA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9yNNl65Wag/VYVnCentcII/AAAAAAABcFE/qfjrj4QQ8yQ/s640/kali.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8C1Ux0Jm4RU/VYVnD03QxKI/AAAAAAABcFM/aRZTVonsBHo/s640/two.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jul
CCM yamtaka Nyalandu kufuta vibali vya uvunaji
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
Helikopta ya Nyalandu yanogesha kampeni za Mgombea Mwenza CCM
Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu akiwa jukwaani akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba.
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni Taifa, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la Iramba Magharibi akizungumza na wananchi kuinadi ilani ya CCM.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika Jimbo la Iramba Magharibi.
Mbunge Nkenge CCM aliyemaliza muda wake,...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Nyalandu ajitosa rasmi mbio za Urais kupitia CCM 2015