Nyalandu aonya nchi kugeuka jangwa
>Waziri wa Maliasili na Utali, Lazaro Nyalandu ameonya kuwa, kama hatua za makusudi hazitachukuliwa kukabiliana na uharibifu wa mazingira, kuna hatari ya nchi kugeuka kuwa jangwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo kutokana na kasi ya ukataji miti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Mpwapwa kugeuka jangwa?
WILAYA ya Mpwapwa iko hatarini kugeuka jangwa, kutokana na wananchi wanaojihusisha na kilimo katika wilaya hiyo kukosa mbinu za kilimo cha kuhifadhi mazingira.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kiteto hatarini kugeuka jangwa
10 years ago
Habarileo11 May
Nyalandu aonya watendaji Maliasili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewaonya watendaji wa wizara yake wanaojifanya miunguwatu na kushindwa kufuata taratibu za kazi na kunyanyasa wananchi, kuwa atawaondoa mchana kweupe.
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
Dkt. Bilal afungua kongamano la Kimataifa la Sayansi kwa nchi za Afrika na Kusini mwa jangwa la Sahara, Jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chuo cha Nelson Mandela cha jijini Arusha wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua Kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu ukuzaji na uendelezaji wa Tafiti za Kisayansi kwa nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la sahara. (Picha na OMR).
Kongamano hilo la siku tatu limefanyika katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) Jijini Arusha Agosti...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI KWA NCHI ZA AFRIKA NA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA, JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo ambalo limedhaminiwa na Shirika la misaada la Kimataifa la Marekani (USAID) linalenga kukuza tafiti za kisayansi na kutanua maendeleo ya tafiti hizo ili yasaidie wananchi wa nchi za ukanda huu hasa vijana ambao wanaelezwa kuwa...
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Wadau mbali mbali wakutana kutoa suluhisho la changamoto zinazoikabili sekta ya utalii katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara
Akizungumza na waandishi wa habari katika mdahalo uliandaliwa na kampuni ya Hospitality Round Table (HRT), ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam Dr. ADELHELM MERU Katibu mkuu wizara ya Maliasili na Utalii alifafanua kuwa, sekta ya utalii hapa Tanzania inafanya vizuri ambapo kumekuwa na ongezeko la wageni kutoka nje, na hoteli za kufikia wageni zimeongezeka kwa kasi mara mbili kulinganisha na idadi ya mwaka jana.
Alifafanua kuwa, pamoja na matumaini yanayoonekana katika sekta hii lakini...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Kiapo hiki chaweza kugeuka laana
“MIMI……………niliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa Bunge Maalumu, naapa/ nathibitisha kwamba nitakuwa mwaminifu na mtiifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa kadiri ya uwezo na ufahamu wangu, nitatimiza wajibu wangu...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Maajabu ya Ndege kugeuka mtu Nigeria
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Wafanyakazi TPDC washutumiwa kugeuka mawakala