Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi TPDC washutumiwa kugeuka mawakala

Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), wameshutumiwa kufanya uwakala wa kuajiri wafanyakazi kwa niaba ya kampuni kubwa za meli zinazotafuta na kuchimba gesi nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi washutumiwa Afrika kusini

Polisi nchini Afrika kusini washutumiwa kuhusika katika tukio la mauaji dhidi ya Wafanyakazi 34 wa mgodi wa Marikana

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi washutumiwa

MTANDAO wa watu wanaotumia dawa za kulevya Tanzania (TaNPUD), umeomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaochukua sheria mkononi dhidi ya watumia dawa za kulevya kwa kuwaona wao ni wahalifu na hawafai kwenye jamii. Kauli hiyo ilitolewa wiki iliyopita na Mwenyekiti wa mtandao huo, Godfrey Ten alipokuwa akizungumzia taarifa ya hivi karibuni iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kuhusu Utawala Bora.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram washutumiwa kulipua Daraja

Wanamgambo wa Boko Haram washutumiwa kulipua Daraja linalounganisha Nigeria na Cameroon

 

11 years ago

Habarileo

Washutumiwa kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu

WAMILIKI wa shule na vyuo visivyo vya Serikali, wamelalamikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu mashuleni.

 

10 years ago

Habarileo

Mpwapwa kugeuka jangwa?

WILAYA ya Mpwapwa iko hatarini kugeuka jangwa, kutokana na wananchi wanaojihusisha na kilimo katika wilaya hiyo kukosa mbinu za kilimo cha kuhifadhi mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiteto hatarini kugeuka jangwa

Kiteto ni moja ya wilaya tano za Mkoa wa Manyara, ambayo miaka 10 tu iliyopita ilikuwa ni kati ya wilaya zilizokuwa na misitu katika maeneo mengi na hivyo kuwa na mvua za uhakika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiapo hiki chaweza kugeuka laana

“MIMI……………niliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa Bunge Maalumu, naapa/ nathibitisha kwamba nitakuwa mwaminifu na mtiifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa kadiri ya uwezo na ufahamu wangu, nitatimiza wajibu wangu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maajabu ya Ndege kugeuka mtu Nigeria

Kisa cha kushangaza kilitokea nchini Nigeria ambapo mwanamke mmoja alipewa kichapo cha Mbwa hadi akafariki kwa madai ya uchawi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani