Wafanyakazi TPDC washutumiwa kugeuka mawakala
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), wameshutumiwa kufanya uwakala wa kuajiri wafanyakazi kwa niaba ya kampuni kubwa za meli zinazotafuta na kuchimba gesi nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Polisi washutumiwa Afrika kusini
11 years ago
Habarileo21 Apr
Wanaojichukulia sheria mkononi washutumiwa
MTANDAO wa watu wanaotumia dawa za kulevya Tanzania (TaNPUD), umeomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaochukua sheria mkononi dhidi ya watumia dawa za kulevya kwa kuwaona wao ni wahalifu na hawafai kwenye jamii. Kauli hiyo ilitolewa wiki iliyopita na Mwenyekiti wa mtandao huo, Godfrey Ten alipokuwa akizungumzia taarifa ya hivi karibuni iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kuhusu Utawala Bora.
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Boko Haram washutumiwa kulipua Daraja
11 years ago
Habarileo13 Feb
Washutumiwa kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu
WAMILIKI wa shule na vyuo visivyo vya Serikali, wamelalamikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu mashuleni.
10 years ago
Habarileo02 Aug
Mpwapwa kugeuka jangwa?
WILAYA ya Mpwapwa iko hatarini kugeuka jangwa, kutokana na wananchi wanaojihusisha na kilimo katika wilaya hiyo kukosa mbinu za kilimo cha kuhifadhi mazingira.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kiteto hatarini kugeuka jangwa
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Kiapo hiki chaweza kugeuka laana
“MIMI……………niliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa Bunge Maalumu, naapa/ nathibitisha kwamba nitakuwa mwaminifu na mtiifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa kadiri ya uwezo na ufahamu wangu, nitatimiza wajibu wangu...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Maajabu ya Ndege kugeuka mtu Nigeria