Nyalandu: Msaidieni Profesa Maghembe
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
“Watendaji ni kiungo muhimu kwa waziri kutekeleza majukumu yake, ni matumaini yangu mtampa ushirikiano katika hili,” alisema.
Nyalandu alisema ushirikiano huo utawezesha rasilimali za nchi kama misitu na wanyama kuendelea kuwapo na kutumika kwa njia endelevu.
Alisema umuhimu wa wizara kuendelea kutangaza vivutio vya utalii ili kuhakikisha malengo katika sekta hiyo unazidi kufikiwa.
“Wizara hii ina watendaji wema na wanaojitolea kutimiza majukumu yao, kuna...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Profesa Maghembe awekewa pingamizi
10 years ago
Raia Mwema23 Sep
Chadema, NCCR kumnufaisha Profesa Maghembe
HALI ya kuvurugana kati ya wagombea wawili wa vyama vya vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (
Paul Sarwatt
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Pingamizi dhidi ya Profesa Maghembe latupwa
9 years ago
Habarileo30 Dec
Nyalandu akabidhi ofisi, Maghembe aahidi kazi
WATENDAJI katika Wizara ya Maliasili na Utalii wameombwa kumpa ushirikiano Waziri mpya wa wizara hiyo, Profesa Jumanne Maghembe ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.
11 years ago
Habarileo14 Dec
Profesa Maghembe ajivunia mafanikio miradi ya maji
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe amesema wabunge watapewa nakala za taarifa za miradi ya maji inayotekelezwa mijini ambapo kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wake.
11 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MAJI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA RASIMI WIKI YA MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
9 years ago
Michuzi
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU


11 years ago
Habarileo07 Aug
'Watanzania msaidieni mama wanne'
MKUU wa Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, Mariam Lugaila amesema atapitisha michango kwa wasamaria ili waweze kumsaidia Tecla Kazimili (24) aliyejifungua watoto wanne.
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Lukuvi: Msaidieni Rais kukamua majipu madogo