NYANZA: Mwanafunzi kidato cha II auawa akimwokoa mwenzake asibakwe
Mwanafunzi wa kidato cha pili wa Sekondari ya Nyasubi, Ally Jacob ameuawa baada kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni alipokuwa akijaribu kumwokoa mwanafunzi mwenzake asibakwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s72-c/MJAMZITO.jpg)
MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AMTUNDIKA MIMBA MWALIMU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s640/MJAMZITO.jpg)
Hii ni moja ya picha mbalimbali za wajawazito kama inavyonekani siyo ya mwalimu muhusika kwa tukio hilo.
Na Mohab MatukioWAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mwanafunzi kidato cha pili akimbia nyumbani akikataa kuolewa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz4cVv1L6VRGhArX3S-6p-*wgmQpG45mVoYKuTBWubNVSn5yRSdFCFGt6g1aPw*ShoCDSfu3q2yYrXagKEfLu33t/DENTI.gif?width=650)
DENTI WA KIDATO CHA NNE ATEKWA, AUAWA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s72-c/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s1600/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s72-c/1.jpg)
Walimu Watatu Wamchapa Mwanafunzi wa Kidato cha Pili viboko Hadi Kufariki kwa Kufeli Mtihani wa Kiswahili huko KITETO
![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s640/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Feb
Mwanafunzi aua mwenzake kwa ngumi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Longinus-26Feb2015.jpg)
Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ilola, Kata ya Ilola Itwangi, Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani hapa, mwenye umri umri wa miaka 12 (jina lake linahifadhiwa kutokana na umri wake), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwenzake kwa kumpiga ngumi kichwani na kuangukia kisogo, wakati wakigombea daftari waliloazima.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Longinus Tibishubwamu, jana alisema tukio hilo lilitokea juzi saa...
10 years ago
Mtanzania26 Feb
Mwanafunzi aua mwenzake darasani wakigombea daftari
Na Kadama Malunde, Shinyanga
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Ilola, Wilaya ya Shinyanga Vijijini, Mkoa wa Shinyanga, Veronica Venance (12), amefariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake wakati wakigombea daftari darasani.
Tukio hilo limetokea juzi mchana wakati wanafunzi hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo.
Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu tukio hilo, Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ilola, Mahona Joseph, alidai lilitokea wakati Veronoca alipong’ang’ania...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLO6VB1VFlx97ZE2VTx2GjjLnz7pzn7CQlEgUYPAhhEYeaPtIZJbVVIWJPAs*RbXAPwT5fVF26PLFa9jxZtTFJ5/21.jpg?width=650)
MWANAFUNZI ATEKWA, AUAWA
10 years ago
Habarileo22 Jan
Mwanafunzi wa ualimu auawa
MWANAFUNZI wa ualimu aliyekuwa anasoma mwaka wa Pili katika Chuo cha Ualimu Rukwa, Manispaa ya Sumbawanga, Zakayo Anosisye (25) ameuawa na watu wasiofahamika.