NYANZA: Mwenyekiti wa Bawacha adaiwa kutekwa na kujeruhiwa
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) mkoani Geita, Husna Amri (34) ameokotwa na wafyatua matofali wa Mtaa wa Pakacha Wilaya ya Kondoa, Mkoa wa Dodoma, akiwa amepigwa na kujeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOS-Y9fATq6J2xcjhneL2XUTHIywOd9BV3dBgy6e84ObZIAHeqOq*9evWkoc38w2qvysWBJMG6K3zsY489vNyIo8/kutekwa.jpg?width=650)
A - Z KUTEKWA, KUTESWA KWA MWENYEKITI CHADEMA
10 years ago
Habarileo13 Sep
Mdee Mwenyekiti mpya Bawacha
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), baada ya kupata kura 165 kati ya kura 244 na kuwaacha wenzake mbali.
10 years ago
MichuziHALIMA MDEE AWA MWENYEKITI MPYA BAWACHA
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Mwenyekiti CCM adaiwa kulawiti
11 years ago
Habarileo07 Mar
Mwenyekiti Bunge Maalum adaiwa kupendelea
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la Asasi zisizo za kiserikali (NGO), amemlalamikia Mwenyekiti wa muda wa bunge hilo, Pandu Ameir Kificho kuwa anawapa nafasi ya kuchangia kwenye bunge hilo watu maarufu na wanaotoka kwenye vyama vya siasa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Albino avamiwa na kujeruhiwa Kenya
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Albino Kaliua anusurika kutekwa
BINTI mwenye ulemavu wa ngozi (Albino), Kulwa Joseph (21), mkazi wa Kijiji cha Usonga Kata ya Silambo Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, ameponea chupuchupu kutekwa baada ya kuvamiwa katika makazi...
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Mkono anusurika kutekwa Dar
Na Kulwa Karedia
MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amesurika kutekwa na watu wasiofahamika katika eneo la Tangibovu, Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na kusainiwa na Mkono mwenyewe, ilisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4:30 asubuhi.
“Nikiwa na wasaidizi wangu wawili tukitoka Bagamoyo tukiwa ndani ya gari langu aina ya Marcedes Benz katika eneo la Mbezi Tangibovu ghafla yalitokea magari mawili ya Toyota Prado na Toyota Land Cruiser VX...