NYAVU HARAM ZAKAMATWA NA KUTEKETEZWA WILAYANI BUSEGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0N8dI9183XQ/XuHE_kUWA7I/AAAAAAAEHlw/Rv2l7SiSSIA_b-iEnypBOJdWt5ufnILhwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-1-1-768x576.jpg)
Jumla ya Nyavu 110, kokoro 2 na timber 32 zilizokuwa zinatumika katika uvuvi haram zimekamatwa na kuteketezwa na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Vifaa hivyo vimekamatwa kati ya tarehe 19/05/2020 na 04/06/2020 katika vijiji vya Nyakaboja kata ya Kabita na Maega Kata ya Kalemela.
Uvuvi haram umekuwa changamoto ukanda wa Ziwa Viktoria, hivyo Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya Busega imeanza kupambana na wavuvi wanaotumia vifaa visivyokubalika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 May
Uvuvi haramu, Nyavu za zaidi ya sh. mil. 200 zakamatwa.
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Idara za uvuvi za mikoa ya Kagera na Geita zimekamata zana haramu za uvuvi zenye thamani zaidi ya shilingi milioni mia mbili katika doria ya wiki mbili iliyofanyika kwenye visiwa na fukwe za mikoa hiyo inayopakana na ziwa Victoria.
Hata hivyo maafisa wa uvuvi wa mikoa hiyo wameshauri kuwepo na sheria kali inayolenga kuwaadhibu watu wanaoendelea kutumia zana zisizoruhusiwa ili kutokomeza uvuvi haramu.
Baadhi ya makokoro kati ya makokoro sabini na saba...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-HnKT2-dOHo0/U8uqOHRAm1I/AAAAAAAABZQ/QTb98233G3U/s72-c/kamani.jpg)
ZIARA ya Kamani wilayani Busega, Mkoani Simiyu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HnKT2-dOHo0/U8uqOHRAm1I/AAAAAAAABZQ/QTb98233G3U/s1600/kamani.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fw3IpBY8gOw/U8uqSiAIg1I/AAAAAAAABZY/p4c6ogUSF2I/s1600/kamani1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vg4M0wHBauI/U8uqUjBN3cI/AAAAAAAABZg/B1PQx3k5tLk/s1600/kamani2.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA BUSEGA, PAUL MZINDAKAYA AKABIDHI POWER TILLER KWA VIKUNDI VINNE WILAYANI HUMO
MKUU wa Wilaya ya Busega mkoani Simiyu Paul Mzindakaya amevikabidhi Power tTiller vikundi vinne vinavyojishughulisha na kilimo bora wilayani humo ili viweze kuondokana na...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Bidhaa zinazokiuka masharti kuteketezwa
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Kanisa la Pentekoste lanusurika kuteketezwa
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Ndege wa ajabu waanza kuteketezwa Bukoba
10 years ago
CloudsFM10 Oct
WATU SABA WAFARIKI DUNIA KWA KUTEKETEZWA NA MOTO
Watu saba wameuawa kwa kuchomwa moto ndani ya nyumba katika tukio ambalo nyumba 18 ziliteketezwa na mbili kubomolewa na wananchi waliodai wanawaua wachawi katika Kijiji cha Murufiti, Kasulu, mkoani Kigoma.
Polisi wameeleza kuwa tayari watu 17 wamekamatwa kwa kuhusika kwenye tukio hilo.
Miongoni mwa waliouawa katika tukio hilo lililotokea Jumatatu iliyopita ni John Mavumba (68) na mkewe Elizabeth Kaje 55 ambao pamoja na wenzao walikuwa wakituhumiwa kuwa ni washirikina.
Akizungumza na...
11 years ago
Habarileo09 Jan
Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA
DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s72-c/20150812_104658.jpg)
KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s640/20150812_104658.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-THZQV1GgTxc/VcwlGM1v93I/AAAAAAAB4yI/4eQuRxoCpq8/s640/20150812_105029.jpg)