Nyerere, Kaunda wapewa tuzo
KAMATI ya African Liberation Medal, imetoa tuzo za ukombozi wa Afrika kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zambia, Dk Kenneth Kaunda. Tuzo hizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aUcLKVce_Ck/U2yKL3fp0II/AAAAAAAFgfA/rUStd5Z8Q78/s72-c/New+Picture+(5).png)
MAMA MARIA NYERERE ATUMA SALAAM KWA MZEE KENETH KAUNDA WA ZAMBIA
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Wapatanishi wa Tunisia wapewa tuzo ya Nobel
10 years ago
Habarileo05 Dec
Wanafunzi 130 Chuo Kikuu Ardhi wapewa tuzo
CHUO Kikuu cha Ardhi kimewazawadia wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika fani mbalimbali, wamezawadiwa vyeti na zawadi kutoka kwa wadhamini ili kukuza elimu na kuongeza ushindani baina ya wanafunzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w55KenLOtUI/XmDeIRgDBBI/AAAAAAABMds/0MdjxeYJ5ysAOkWu9WWJZ4eM_dSR3rVvwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0042.jpg)
SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Wafanyakazi wa mgodi wa North Mara wapewa tuzo za umahiri 2014, kwa umakini na uwajibikaji kazini
Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Gary Chapman, akionyesha wafanyakazi wenzake wa mgodi huo, tuzo ya umahiri ya mwaka 2014, (Excellence Awards 2014), waliyonyakua kwa kuwa mgodi wenye kuzingatia usalama kwa kiwango cha juu, wakati wa utoaji tuzo hizo awamu ya pili iliyofganyika kwenye mgodi huo Jumanne usiku Machi 23, 2015.
Meneja mkuu wa mgodi wa North Mara, Gary Chapman, (kushoto), akishuhudia wakati Le Poer Trench, (katikati) na Albert Rudman, wakionyesha tuzo za umahiri za mwaka...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Kenneth Kaunda alazwa hospitalini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
JK amtembelea Rais Mstaafu Kaunda wa Zambia jijini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IZ7KfYXOvkY/VO8moot-bgI/AAAAAAAHGDg/9KIJ4IK6HYA/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-DEfSteOAc/VO8mmdQOpxI/AAAAAAAHGDM/rHfniICHqtY/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s72-c/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s1600/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI WAALIKWA:
Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:
Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi...
10 years ago
GPLJK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA