Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyerere, Kaunda wapewa tuzo

KAMATI ya African Liberation Medal, imetoa tuzo za ukombozi wa Afrika kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zambia, Dk Kenneth Kaunda. Tuzo hizo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAMA MARIA NYERERE ATUMA SALAAM KWA MZEE KENETH KAUNDA WA ZAMBIA

Mnamo tarehe 28 Aprili 2014 Mheshimiwa Mzee Kenneth David Kaunda (KK), Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Zambia alifikisha miaka tisini (90). Sherehe kubwa iliandaliwa siku hiyo ambapo Mama Maria Nyerere alialikwa lakini kwa sababu zisizozuilika hakuweza kuhudhuria. Ili kukamilisha nia hiyo Mama Nyerere akamtuma mwanae Mheshimiwa Makongoro Nyerere ambae pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kuja kuwasilisha salamu za pongezi zake binafsi na za familia ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapatanishi wa Tunisia wapewa tuzo ya Nobel

Kundi la wapatanishi wa mazungumzo nchini Tunisia limetunukiwa tuzo ya Nobel ya mwaka huu kwa jukumu lao la kufanikisha demokrasia nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi 130 Chuo Kikuu Ardhi wapewa tuzo

CHUO Kikuu cha Ardhi kimewazawadia wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika fani mbalimbali, wamezawadiwa vyeti na zawadi kutoka kwa wadhamini ili kukuza elimu na kuongeza ushindani baina ya wanafunzi.

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa mgodi wa North Mara wapewa tuzo za umahiri 2014, kwa umakini na uwajibikaji kazini

Chapman_tuzo

Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Gary Chapman, akionyesha wafanyakazi wenzake wa mgodi huo, tuzo ya umahiri ya mwaka 2014, (Excellence Awards 2014), waliyonyakua kwa kuwa mgodi wenye kuzingatia usalama kwa kiwango cha juu, wakati wa utoaji tuzo hizo awamu ya pili iliyofganyika kwenye mgodi huo Jumanne usiku Machi 23, 2015.

Chapman_Albert_Le poer trench

Meneja mkuu wa mgodi wa North Mara, Gary Chapman, (kushoto), akishuhudia wakati Le Poer Trench, (katikati) na Albert Rudman, wakionyesha tuzo za umahiri za mwaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenneth Kaunda alazwa hospitalini

Aliyekuwa rais wa Zambia Kenneth Kaunda amelazwa hospitalini mjini Lusaka.

 

10 years ago

Michuzi

JK amtembelea Rais Mstaafu Kaunda wa Zambia jijini Lusaka

 Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt.Kenneth Kaunda akimkaribisha nyumbani kwake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete huko kijijini kwake Mkango Barracks, State Lodge nje ya jiji la Lusaka leo Dkt. Kaunda ambaye alimwalika Rais Kikwete alifanya naye mazungumzo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Rais wa Kwanza wa Zambia Mama Betty Mutinkhe Kaunda huko Mkango Barracks,State lodge, nje ya jiji la Lusaka leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha...

 

10 years ago

Vijimambo

TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUZO YA JAMII ITAKAYOTOLEWA TAREHE 13 APRIL 2015 KATIKA UKUMBI WA JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE, JIJINI DAR ES SALAAM
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI WAALIKWA:
Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:
Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi...

 

10 years ago

GPL

JK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.    Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani