Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota BSS wawa mabalozi wa simu

DSCF9323NA MOHAMED MHARIZO

WALIOKUWA washiriki wa Shindano la Bongo Star Search 2015 wameteuliwa kuwa mabalozi wa kampeni ya ‘Jiekotishe na Huawei’ sambamba na uzinduzi wa simu mpya maalumu kwa msimu wa sikukuu.

Mabalozi hao ni Nassib Fonabo aliyeshika nafasi ya pili katika shindano la BSS, Frida Amani mshindi wa tatu na Kelvin Gerrison.

Naye Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko, Samson Majwala, alisema wamezindua kampeni hiyo kwa lengo la kutoa zawadi kwa watakaonunua simu hizo.

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwanafunzi atapeliwa simu nne akisafisha nyota

Wanawake watatu wasiojulikana majina yao wamemtapeli mwanafunzi wa Chuo cha Jiji la Dar es salaam (Dacico), Monica Crispin simu nne zenye thamani ya Sh145,000 baada ya kumdanganya kwamba watamsaidia kusafisha nyota ili fanikiwe katika maisha yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

GPL

Yanga yatua kwa Wawa

Beki wa Azam, Paschal Serge Wawa. Waandishi Wetu, Dar es Salaam
AMA kweli sasa Yanga imeamua kufanya yake bila ya kumuangalia mtu usoni baada ya kugonga hodi Azam FC na kuulizia huduma ya beki wake wa kati mwenye kila sifa ya kumudu majukumu yake uwanjani na roho ya ulinzi ya timu hiyo, Muivorycoast, Paschal Serge Wawa. Yanga imefikia hatua hiyo baada ya kuwepo kwa shinikizo la kocha mkuu wa timu hiyo, Mdachi, Hans van Der...

 

10 years ago

Mwananchi

Julio: Wawa, Kipre wanajua

Kocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amewaponda wachezaji wa kigeni hasa wanaosajiliwa na Simba, Yanga na Azam FC kwamba hawana jipya ingawa amesifu uwezo wa Kipre Tchetche na Pasca Wawa pamoja na Emmanuel Okwi huku akitangaza kiama kwa timu hizo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

 

10 years ago

Habarileo

Wawa aongeza mkataba Azam

BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.

 

9 years ago

Habarileo

Simba, Mtibwa zamtisha Wawa

BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

10 years ago

TheCitizen

Football is my life, says Azam’s Pascal Wawa

Serges Pascal Wawa Sfondo won his second Cecafa Kagame Cup with a different club when he guided Azam FC to a 2-0 win over Kenya’s Gor Mahia on Sunday at the National Stadium.

 

10 years ago

Mwananchi

Wawa atua Azam, Kiemba agomewa

Wakati beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Paschal Serge Wawa akimwaga wino mkataba wa miaka miwili kuichezea Azam, Simba imekataa maombi ya Azam kumsajili kiungo Amri Kiemba kwa mkopo.

 

10 years ago

Habarileo

Mjadala wa Escrow wawa moto bungeni

Naibu Spika wa Bunge, Job NdugaiRIPOTI ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu kuchotwa kunakodaiwa isivyo halali kwa fedha katika Akaunti ya Escrow, sasa haitajadiliwa bungeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani