Nyota BSS wawa mabalozi wa simu
NA MOHAMED MHARIZO
WALIOKUWA washiriki wa Shindano la Bongo Star Search 2015 wameteuliwa kuwa mabalozi wa kampeni ya ‘Jiekotishe na Huawei’ sambamba na uzinduzi wa simu mpya maalumu kwa msimu wa sikukuu.
Mabalozi hao ni Nassib Fonabo aliyeshika nafasi ya pili katika shindano la BSS, Frida Amani mshindi wa tatu na Kelvin Gerrison.
Naye Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko, Samson Majwala, alisema wamezindua kampeni hiyo kwa lengo la kutoa zawadi kwa watakaonunua simu hizo.
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mwanafunzi atapeliwa simu nne akisafisha nyota
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuB-mBJ*MZfEAQyxLZNZewryRoeKVpDCxJjWNng16SEbXmVvKjaqu9Nz9jWrdqtz4DxQAXorRUjcMVX*BZlXHYDt/okpkl.gif?width=650)
Yanga yatua kwa Wawa
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Julio: Wawa, Kipre wanajua
10 years ago
Habarileo07 Aug
Wawa aongeza mkataba Azam
BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.
9 years ago
Habarileo02 Nov
Simba, Mtibwa zamtisha Wawa
BEKI mahiri wa timu ya soka ya Azam, Pascal Wawa, amesema kuimarika kwa timu za Simba na Mtibwa Sugar kumeongeza ukali wa mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
10 years ago
TheCitizen05 Aug
Football is my life, says Azam’s Pascal Wawa
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wawa atua Azam, Kiemba agomewa
10 years ago
Habarileo12 Nov
Mjadala wa Escrow wawa moto bungeni
RIPOTI ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu kuchotwa kunakodaiwa isivyo halali kwa fedha katika Akaunti ya Escrow, sasa haitajadiliwa bungeni.