Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama kuhutubia katika Umoja wa Afrika.

Rais Barack Obama leo anatarajia kuwahutubia viongozi wa Umoja wa Afrika, mjini Addis Ababa, Ethiopia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuhutubia umoja wa Afrika

Rais wa Marekani Barack Obama anaendelea na ziara yake nchini Ethiopia ambapo leo anatarajiwa kutoa hotuba kwa viongozi wa muungano wa Afrika.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tutashiriki katika ujenzi wa Afrika yenye umoja, mshikamano na miundombinu stahili — Benki ya Maendeleo Afrika

PIC 1 (3)

Katibu Mkuu Dkt.Servacius Likwelile akiwa na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Afrika Mashariki Nd. Gabriel Negatu katika Mkutano uliofanyika katika ukumb wa Ecobank Jijini Kigali Rwanda.

PIC 2 (2) (1)

Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akijadiliana jambo na mmoja wa washiriki wa Mkutano wa 49 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika unafanyika Kigali Rwanda. Pembeni ni mwa Waziri ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile na msaidizi wa Waziri Bw.Thomas Mabeba.

PIC 3 (3)

Waziri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama leo kuhutubia wajasiriamali Kenya

Rais wa marekani Barack Obama anatarajiwaa kuhutubia kongamano la kimataifa la wajasiriamali linalofanyika nchini Kenya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete katika mkutano wa 25 wa kawaida wa Umoja wa Afrika Jijini Johannesburg leo

aa1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wengine wa Umoja wa Afrika wakiimba wimbo wa umoja huo katika ukumbi wa Sandton Convention Centre Jijini Johannesburg, Afrika Kusini, wakati wa ufunguzi wa mkutano wao wa 25 wa kawaida leo June 14, 2015.

aa3

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba katika ukumbi wa Sandton Convention Centre Jijini Johannesburg,...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE KATIKA MKUTANO WA 25 WA KAWAIDA WA UMOJA WA AFRIKA JIJINI JOHANNESBURG

2Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongzi wengine wa Umoja wa Afrika wakiimba wimbo wa umoja huo katika ukumbi wa Sandton Convention Centre Jijini Johannsburg, Afrika Kusini, wakati wa ufunguzi wa mkutano wao wa 25 wa kawaida June 14, 20153Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Zanzibar Dkt.MwinyihajiMakame Mwadini na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba katika ukumbi wa Sandton Convention Centre Jijini Johannsburg, Afrika...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO

Rais Kikwete: Sera ya Nje itabakia ile ile
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...

 

9 years ago

Michuzi

VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015

Katibu Mtendaji wa Tume ya Sayansi, Ufundi na Utafiti wa Umoja wa Afrika Dkt. Ahmed Hamdy akimsikiliza kwa makini mwanafunzi Abubakar Masandiko  wakati anaelezea ubunifu huo wa kuwasha na kuzima taa kwa kutumia remote katika maonesho hayo.Naibu Waziri wa Elimu wa nchini Somalia, Bw. Hamud Ally Hassan akimpongeza mwanafunzi Abubakar Masandiko kwa ubunifu wake uliotokana na elimu ya tehama anayoendelea kuipata katika chuo cha VETA Kipawa.Mwanafunzi wa chuo cha VETA Kipawa Bw. Abubakar...

 

10 years ago

Michuzi

Huawei na Umoja wa Afrika zasaini makubaliano kuboresha miundombinu ya teknohama Afrika

Makamu wa Rais wa kampuni ya Huawei katika idara inayohusika na mahusiano ya serikali Ulimwenguni, Bw. David Harmon (wapili kushoto) akipeana mkono na Makamu Mweyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Bw. Erastus Mwencha (wapili kulia), mara baada ya kusaini makubaliano yatakayosaidia kuongeza  ushirikiano baina yao katika kuimarisha maendeleo katika miundombinu ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano (teknohama). Hafla ya kusaini makubaliano hayo ilifanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani