Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama leo kuhutubia wajasiriamali Kenya

Rais wa marekani Barack Obama anatarajiwaa kuhutubia kongamano la kimataifa la wajasiriamali linalofanyika nchini Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuhutubia umoja wa Afrika

Rais wa Marekani Barack Obama anaendelea na ziara yake nchini Ethiopia ambapo leo anatarajiwa kutoa hotuba kwa viongozi wa muungano wa Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuhutubia katika Umoja wa Afrika.

Rais Barack Obama leo anatarajia kuwahutubia viongozi wa Umoja wa Afrika, mjini Addis Ababa, Ethiopia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete kuhutubia Bunge la Kenya

Rais Kikwete atahutubia bunge la Kenya Jumanne wiki ijayo huku akiendelea kujiandaa kuondoka mamlakani.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aaga Kenya kwa kuhutubia Bunge

RAIS Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la Kenya na kuwaaga wananchi wa Kenya huku akisisitiza ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya kwamba utadumu milele. Aidha, amesema anaamini Wakenya watakuwa wamepata fundisho kutokana na machafuko yaliyotokana na uchaguzi wa mwaka 2007 na hawatarudia tena.

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

GPL

OBAMA AKIWA KATIKA MKUTANO WA WAJASIRIAMALI, NAIROBI

Rais wa Marekani, Barack Obama akisalimiana na mwenyeji wake Uhuru Kenyatta.  PICHA ZAIDI INGIA HAPA =====>http://bit.ly/1KqLA5o

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu kuhutubia Congress leo

Waziri wa mambo ya nje wa Israel Banjamin Netanyahu atalihutubia Bunge la Congress leo kuhusu mpango wa Nyuklia wa Iran

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete kuhutubia Bunge leo

Rais Jakaya Kikwete.BUNGE la 10 linamaliza shughuli zake leo kabla ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia na kulivunja mjini hapa. Rais atahutubia Bunge hilo saa 10:00 jioni baada ya kukagua gwaride la heshima, lililoandaliwa na Jeshi la Polisi katika viwanja vya Bunge mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

LEO MEI MOSI JK KUHUTUBIA

RAIS Jakaya Kikwete (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na kuhutubia katika sherehe za wafanyakazi, Mei Mosi zitakazofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Hezron Kaaya mapema wiki hii aliwaambia wanahabari kuwa maadhimisho ya Sikukuu ya Mei Mosi mwaka huu yatafanyika kitaifa katika Uwanja wa Uhuru mkoani Dar es Salaam. “Katika kikao chetu na Rais Kikwete...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani