Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama to receive Nyerere’s baton

Arusha. The sculptor of the baton of Mwalimu Julius Nyerere will hand over a similar magic wand to US President, Barack Obama, making him the world’s third sitting president to receive the artwork after the Father of the Nation and President Jakaya Kikwete.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Obama kupelekewa ‘kifimbo’ cha Nyerere

Rais wa Marekani, Barack Obama.RAIS wa Marekani, Barack Obama anatarajiwa kuwa kiongozi wa tatu duniani kuanza kubeba kifimbo kama kile cha Mwalimu Nyerere ambacho tayari kimechongwa kwa ajili yake na msanii yule yule aliyetengeneza fimbo ya Baba wa Taifa.

 

11 years ago

TheCitizen

I’m just passing on the baton

The dust rises and fills the air as children throw basketballs at each other delightedly. There are 96 children on the field, 15 basketballs and a coach ready to pass on the game and life skills to these children.

 

11 years ago

BBC

Queen's Baton Relay: Africa

African tour ahead of Commonwealth Games

 

11 years ago

TheCitizen

Queen’s Commonwealth baton arrives

The Queen’s baton arrives in the country today from Rwanda as it continues its tour of various countries around the world.

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara jana , aliposimama kwa muda akielekea kwenye mkutano wa kampeni wilayani huo leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akiweka shada la la maua alipozuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo wilayani Butiama,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani