Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Of Okwi’s euphoria and Fifa’s unanswered queries

Last Thursday’s news from the world football governing body, Fifa, that Vodacom Premier League (VPL) defending champions, Young Africans Sports Club, were now free to use Ugandan international, Emmanuel Okwi, for local and international tournaments may not have come at a better time.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Fifa: Okwi rukusa Yanga

Na Waandishi Wetu
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) limesema mshambuliaji Emmanuel Okwi yupo huru kujiunga na timu yoyote inayomhitaji. Baadhi ya viongozi wa Kamati ya Usajili wa Yanga, wakiongozana na Emmanuel Okwi mara baada ya kuwasiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ambapo alipitia katika mlango wa watu maarufu 'VIP'. Okwi aliyekuwa mchezaji kipenzi cha Simba kabla kuuzwa Etoile du Sahel,...

 

11 years ago

Mwananchi

Fufa yamuulizia Okwi Fifa

>Shirikisho la Soka Uganda (Fufa) limeiandikia barua Shirikisho la Soka la Dunia (Fifa) likitaka ufafanuzi kuhusu usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi aliyesajiliwa na Yanga akitokea SC Villa ya Uganda.

 

11 years ago

GPL

FIFA: OKWI RUKSA YANGA

Emmanuel Anorld Okwi. KIUNGO nyota Mganda, Emmanuel Anorld Okwi, ni mchezaji halali wa Yanga.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeeleza kuhusiana na habari hiyo njema kwa mashabiki wa Yanga baada ya kupata ufafanuzi kutoka kwa lile la kimataifa (Fifa). TFF ndiyo waliosimamisha usajili wa Okwi, saa chache kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini jana wamethibitisha anaweza kuanza kuitumikia...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga kumburuza Okwi FIFA

Emmanuel Okwi

Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Emmanuel Okwi

NA ZAITUNI KIBWANA, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa timu ya Yanga unakusudia kuwasilisha malalamiko yao katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kumuidhinisha Okwi kuichezea Simba.

Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Richard Shinamkutwa, ilikutana juzi kujadili usajili huo uliozua utata na kumuidhinisha Okwi kama mchezaji huru, akiwemo beki, Abdi Banda wa Coastal Union, aliyeidhinishwa pia...

 

11 years ago

GPL

Fifa yaliibua upya suala la Okwi

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi (kulia) mwenye mpira akijiandaa kuwatoka mabeki wa timu ya Mtibwa Sugar. Na Said Ally
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa), limetuma barua nyingine kwa Simba ambayo inamzungumzia mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Barua hiyo ambayo ni ya pili ndani ya miezi miwili, inaeleza kuwa lazima Simba italipwa fedha zake dola 300,000 (Sh milioni 480). Awali, Fifa iliiandikia barua Simba ikidai...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba kulipeleka sakata la Okwi Fifa

Siku moja baada ya Yanga kutangaza  kumsajili mshambuliaji Emmanuel Okwi, uongozi wa Simba umesema hauna ugomvi na mchezaji  huyo licha ya kudai kufuatilia suala hilo Shirikisho la Soka Duniani (Fifa).

 

11 years ago

GPL

FIFA YAMTUMIA RAGE BARUA YA OKWI

Emmanuel Okwi SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa), limetuma barua tatu tofauti kwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, moja ikiwa ni ile inayomhusu Emmanuel Okwi ambaye sasa yuko Yanga. Moja ya barua ambazo Rage amepewa kopi na Fifa ni ile ambayo Shirikisho la Soka la Uganda (Fufa), limemuomba Okwi kurejea Uganda na kuitumikia timu ya taifa katika michuano ya kimataifa. Pamoja na barua hiyo, Rage amethibitisha kupokea...

 

11 years ago

GPL

OKWI: FIFA YATOA SIKU TANO

Emmanuel Okwi. Khadija Mngwai na Nicodemus Jonas
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) limeipa Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia hadi Januari 27, kuanzia jana liwe limetoa maelezo ya uhakika kuhusiana na usajili wa Emmanuel Okwi. Usajili wa Okwi umezua utata mkubwa na kuzigonganisha timu nne kutoka katika nchi za Afrika Mashariki na Afrika Kaskazini.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Fifa yabariki Okwi kuchezea Yanga

>Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), limemaliza utata kwa kumruhusu mshambuliaji Emmanuel Okwi kuitumikia Yanga kama usajili wake umekidhi vigezo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani