Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ONESHO LA KITALII LA S!TE LATAMBULISHWA RASMI INDABA

Na Geofrey Tengeneza Onesho la Kimataifa la Utalii la Tanzania lijulikanalo kama Swahili International Tourism Expo (S!TE) linaroratibiwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB na litakalokuwa likifanyika kila mwaka mwezi Oktoba katika eneo la Mlimani City jijini Dar es salaam limetambulishwa rasmi kwa wadau mbalimbali waliohudhuria maonesho ya Kimatatifa ya Utalii ya INDABA huko Durban Afrika Kusini.  Akizungumza wakati wa kutambulisha onesho hilo, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mh....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

More than 400 exhibitors have applied for INDABA 2015

indiba

Over 400 travel and tourism products and services have applied to exhibit at Africa’s biggest and best established travel tradeshow. They include the widest variety and depth of African travel products from both the private and public sectors of the industry, which is why Indaba celebrates the exhibitors as the show’s core differentiator.

Among the companies that have already confirmed their exhibiting space at INDABA are: andBeyond; Fair Trade Tourism; the Tanzania Tourist Board; The Blue...

 

10 years ago

Michuzi

BANDA LA TANZANIA LATIKISA MAONESHO YA INDABA

 Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mh. Radhia Msuya (katikati)  katika picha ya pamoja na waoneshaji kutoka taasisi za serikali katika maonesho ya INDABA AFrika Kusini. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania bii Devota Mdachi.Waoneshaji kutoka tasisi za Serikali katika maonesho ya INDABA Durban Afrika Kusini wakiwa kazini kuitangaza Tanzania.
Na: Geofrey Tengeneza.Banda la Tanzania katika maonesho ya Kimataifa ya INDABA yaliofanyika katika jiji la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afrika kubeba maonyesho ya utalii Indaba 2014

MEI 10 mwaka huu ni siku ambayo dunia itashuhudia ufunguzi wa maonyesho makubwa ya biashara na utalii yajulikanayo kama Indaba 2014 yatakayofanyika jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Washiriki 398 wamethibitisha kushiriki na wengine...

 

10 years ago

Vijimambo

TTB KATIKA MAONESHO YA UTALII INDABA AFRIKA KUSINI

Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mh. Radhia Msuya (katikati) katika picha ya pamoja na waoneshaji kutoka taasisi za serikali katika maonesho ya INDABA AFrika Kusini. Wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania bii Devota Mdachi.Waoneshaji kutoka tasisi za Serikali katika maonesho ya INDABA Durban Afrika Kusini wakiwa kazini kuitangaza Tanzania.
Na Geofrey Tengeneza
Banda la Tanzania katika maonesho ya Kimataifa ya INDABA yaliofanyika katika jiji la Durban...

 

10 years ago

Dewji Blog

INDABA 2015, a platform to optimise African tourism business growth

2784538048371_8849602189380

South African Tourism CEO, Mr Thulani Nzima.

South African Tourism CEO, Mr Thulani Nzima: “Every single INDABA element must give exhibitors an unrivalled and effective platform to showcase their products and services, and to do business. INDABA belongs to them”

South African Tourism is working to make sure that INDABA 2015 exceeds the business expectations of both exhibitors and buyers.

South African Tourism Chief Executive Officer, Mr Thulani Nzima says: “INDABA is the single biggest...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania at the 20th African Mining Indaba held at the Cape Town International Convention Centre

 Hon. Stephen J. Masele ( MP ), Deputy Minister for Energy and Minerals of the United Republic of Tanzania at the 20th African Mining Indaba held at the Cape Town International Convention Centre ( CTICC )  The Deputy Minister has had different bilateral meetings with the mining companies as well as counterparts from different countries such as the Republic of the Sudan , the Republic of Kenya etc. He also did a presentation that  highlighted among others, conducive investment environment...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tony Blair, Former Prime Minister of the United Kingdom, to Present a Keynote Address at the 2015 Mining Indaba

miningindaba

Mining Indaba, the world’s largest mining investment event will take place on 9 – 12 February 2015 in Cape Town, South Africa

The organisers of the annual Investing in African Mining Indaba (http://www.miningindaba.com) announced today that Tony Blair, Prime Minister of the United Kingdom (1997 – 2007) will participate in a keynote presentation at the  2015 annual conference.  Euromoney Institutional Investor Managing Director, Mr. Christopher Fordham, will host an “Interview with Tony...

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa

Mawakala wa biashara ya kusafirisha watalii (Tour operators), wameiomba Serikali kupiga marufuku kwa muda uwindaji wa kitalii kama njia ya kukabiliana na uwindaji haramu nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa

SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani