PAC: Don’t recapitalize Narco
>Parliament’s Public Accounts Committee (PAC) has urged the government not to give Sh17 billion to the National Ranching Company due to managerial weaknesses.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Jan
Pasua majipu yatua Narco
WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba amemsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa Ranchi za Taifa pamoja na Wakurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.
11 years ago
Daily News30 May
Team formed to evaluate NARCO land use plan for possible review
Daily News
A TEAM has been formed to evaluate land use in all the areas under the ownership of National Ranching Company (NARCO) for the possible review of land use plans, the Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, has said. Premier Pinda told the National Assembly ...
5 years ago
BBC28 May
Cocaine and Guinea-Bissau: How Africa's 'narco-state' is trying to kick its habit
9 years ago
StarTV05 Jan
Waziri Mwigulu aisimamisha bodi ya NARCO kwa Ubadhilifu Ranchi Ya Taifa
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ameisimamisha kazi Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa kutokana na kinachodaiwa kushindwa kusimamia majukumu yake yakiwepo ya manunuzi na usimamiaji wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kampuni hiyo iliyopo Ruvu Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.
Bodi hiyo inadaiwa kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Bilioni 3 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kimataifa ambayo yangetumia shilingi bilioni 10.7...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jla_S9maI84/XptHJh8J1sI/AAAAAAALnXQ/dRjggnBtwHo1-kFmTWBUOsAWZrVUv95pQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B7.18.51%2BPM.jpeg)
PROF OLE GABRIEL AIAGIZA NARCO KUHAKIKISHA NCHI INAKUA NA MIFUGO YA KUTOSHA KIPINDI HIKI CHA CORONA
Prof Ole Gabriel ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Wilaya...
10 years ago
Zitto19 Apr
Dr Mengi never influenced PAC
IPPmedia
IPPmedia
Former chairman of the Parliamentary Public Accounts Committee Zitto Kabwe has strongly refuted reports in a weekly tabloid that he conversed with President Jakaya Kikwete that the committee was being influenced by IPP Executive Chairman Dr Reginald ...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Jan
10 years ago
Habarileo29 Oct
PAC yaibana BOT
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.
10 years ago
Habarileo27 Nov
Mapendekezo mengine mazito ya PAC
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilitoa mapendekezo mengine bungeni mjini Dodoma yafuatayo:
Hukumu ya Jaji
Utamwa Kamati inaitaka Serikali kwenda mahakamani kuomba mapitio ya hukumu iliyoletwa na Jaji John Utamwa.
Kamati inaitaka Serikali kwa mujibu wa sheria na makubaliano ya mkataba, kuchukua mtambo wa IPTL na kuumilikisha kwa Tanesco Kamati inaielekeza Serikali kufanya uchunguzi kwanza kama malipo ya Capacity Charges yaliyolipwa kwa miaka minne kama kuhudumia mkopo kabla ya...