Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAC: Don’t recapitalize Narco

>Parliament’s Public Accounts Committee (PAC) has urged the government not to give Sh17 billion to the National Ranching Company due to managerial weaknesses.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Pasua majipu yatua Narco

WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba amemsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa Ranchi za Taifa pamoja na Wakurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.

 

11 years ago

Daily News

Team formed to evaluate NARCO land use plan for possible review


Team formed to evaluate NARCO land use plan for possible review
Daily News
A TEAM has been formed to evaluate land use in all the areas under the ownership of National Ranching Company (NARCO) for the possible review of land use plans, the Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, has said. Premier Pinda told the National Assembly ...

 

5 years ago

BBC

Cocaine and Guinea-Bissau: How Africa's 'narco-state' is trying to kick its habit

Concern mounts about Guinea-Bissau commitment to curb drug trafficking, writes Ricci Shyrock.

 

9 years ago

StarTV

Waziri Mwigulu aisimamisha bodi ya NARCO kwa Ubadhilifu Ranchi Ya Taifa

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ameisimamisha kazi Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa kutokana na kinachodaiwa kushindwa kusimamia majukumu yake yakiwepo ya manunuzi na usimamiaji wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kampuni hiyo iliyopo Ruvu Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.

Bodi hiyo inadaiwa kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Bilioni 3 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kimataifa ambayo yangetumia shilingi bilioni 10.7...

 

5 years ago

Michuzi

PROF OLE GABRIEL AIAGIZA NARCO KUHAKIKISHA NCHI INAKUA NA MIFUGO YA KUTOSHA KIPINDI HIKI CHA CORONA

KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Elisante Ole Gabriel ameitaka hifadhi ya ranchi za taifa (NARCO) kwa kushirikiana wadau wengine wa sekta ya Mifugo kuhakikisha Nchi inakuwa na Mifugo ya kutosha na yenye afya kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya bidhaa zitokanazo na mifugo wakati huu wa janga la Ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid 19) na hata mara baada ya janga hilo kuisha.
Prof Ole Gabriel ameyasema hayo leo alipofanya ziara katika Wilaya...

 

10 years ago

Zitto

Dr Mengi never influenced PAC


IPPmedia
Dr Mengi never influenced PAC - Zitto
IPPmedia
Former chairman of the Parliamentary Public Accounts Committee Zitto Kabwe has strongly refuted reports in a weekly tabloid that he conversed with President Jakaya Kikwete that the committee was being influenced by IPP Executive Chairman Dr Reginald ...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Taarifa ya PAC 2014

View this document on Scribd

 

10 years ago

Habarileo

PAC yaibana BOT

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupeleka hatua zote za mkataba wa ubinafsishwaji wa benki ya NBC ili kufahamu ukweli wa mhusika aliyesababisha hasara kwa benki hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Mapendekezo mengine mazito ya PAC

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilitoa mapendekezo mengine bungeni mjini Dodoma yafuatayo:

Hukumu ya Jaji

Utamwa Kamati inaitaka Serikali kwenda mahakamani kuomba mapitio ya hukumu iliyoletwa na Jaji John Utamwa.

Kamati inaitaka Serikali kwa mujibu wa sheria na makubaliano ya mkataba, kuchukua mtambo wa IPTL na kuumilikisha kwa Tanesco Kamati inaielekeza Serikali kufanya uchunguzi kwanza kama malipo ya Capacity Charges yaliyolipwa kwa miaka minne kama kuhudumia mkopo kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani