Pacquiao kupigana mara ya mwisho
Bondia raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa akastaafu katika ulingo wa ndondi baada ya pigano moja mwaka ujao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.
Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.
Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.
Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...
9 years ago
Bongo508 Sep
Floyd Mayweather asisitiza Andre Berto ni bondia wa mwisho kupigana naye
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Pistorius kuhojiwa mara ya mwisho
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dVLk-OgamWU/VguWUp8zEKI/AAAAAAAH70U/2AQvqg_SL-0/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
TASWIRA ZA JK AKIWA UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK, KWA MARA YA MWISHO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara
9 years ago
StarTV18 Dec
Waendesha Bajaji Dodoma wagoma madai ya faini za mara kwa mara
Wafanyabiashara wa pikipiki za magurudumu matatu maarufu kama bajaji wa manispaa ya Dodoma wamesitisha kutoa huduma ya usafiri kwa zaidi ya saa nne wakipinga kutozwa faini za mara kwa mara na Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA kwa madai kuwa wamekiuka agizo la mamlaka hiyo kwa kuegesha katika maeneo yasiyo rasmi.
Mgomo huo umekuja baada ya mamlaka hiyo kuzikamata Bajaji 12 za wafanyabiashara hao kwa kuegesha eneo lisilo husika wakitakiwa kulipa faini ya shilingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SWEbNM-m1mQ/XpVRM5yWm0I/AAAAAAALm40/1FURc384GJ0VDBTfM56J1zJnAy_w9od7ACLcBGAsYHQ/s72-c/85f2ecd1-1313-4f77-b867-e4105a025dcb.jpg)
Uhamiaji Mkoa wa Mara yapokea Kontena kutoka Barrick North Mara
![](https://1.bp.blogspot.com/-SWEbNM-m1mQ/XpVRM5yWm0I/AAAAAAALm40/1FURc384GJ0VDBTfM56J1zJnAy_w9od7ACLcBGAsYHQ/s640/85f2ecd1-1313-4f77-b867-e4105a025dcb.jpg)
Akiongea wakati akipokea kontena hilo Afisa uhamiaji Mkoa wa Mara Naibu Kamishna wa Uhamiaji DCI Albert Rwelamila aliwapongeza wakurugenzi wa Barrick North Mara...