Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Padre Katoliki amtaka Lowassa

PAROKO wa Parokia ya Kabanga mkoani Kigoma, Padre Baptiste Mapunda, amempigia debe mgombea anayemtaka kuwa Rais wa Tano wa Tanzania, akimtaja kuwa ni mtu anayeonekana mbaya machoni mwa watu.

Akihubiri katika ibasa maalumu ya kuadhimisha miaka 25 ya upadre wake katika Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese jijini Dar es Salaam jana, Padre Mapunda, bila kutaja jina la mwanasiasa huyo, alisema mtu anayeonekana mchafu anaweza kubadilika na kuleta mabadiliko nchini.

“Tanzania si nchi...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Padre wa Kanisa Katoliki afa ajalini

WATU wawili, akiwemo Padre Martin Kapufi (37) wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda mkoani Katavi, wamekufa katika ajali ya gari, walilokuwa wakisafiria, kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Kamsisi Barabara ya Inyonga -Tabora.

 

10 years ago

Habarileo

Padre Mapunda ateuliwa Askofu Jimbo Katoliki Singida

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amemteua Padre Edward Mapunda (51) kuwa Askofu Mpya wa Jimbo la Singida.

 

10 years ago

Vijimambo

PADRE MUNISHI AWEKWA WAKFU KUWA PAROKO KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD

IMG_0279Baba padre Honest Munishi akiwekwa wakfu kuongoza kanisa la Katoliki la St.Edward Baltimore Md nchini Marekani katika misa iliyoongozwa na Askofu Dennis Madden wa jimbo la kuu la Baltimore, Jumapili Februari 8,2014. Padre Munishi amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Padre Evod Shao aliyemaliza muda wake.IMG_0276Padre Munishi katika ibada. IMG_0284Padre Munishi akitia saini mbele ya askofu baada ya kusimikwa kuwa paroko mpya wa kanisa la Baltimore Md. IMG_0288Baba askofu wa jimbo kuu la Baltimore akimtambulisha padre...

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA AMJULIA HALI ASKOFU RUZOKA WA JIMBO KATOLIKI TABORA

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimjulia hali leo Askofu Mkuu Katoliki jimbo Kuu la Tabora Paul Ruzoka katika hospitali ya TMJ alikokwenda kufanyiwa vipimo kufuatia ajali aliyoipata Igunga Mkoani Tabora. Mwenye shati jeupe ni Askofu Josephat Gwajima.

 

11 years ago

Habarileo

Padre: Wabunge acheni ubinafsi

WABUNGE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutambua kwamba karama na uwezo waliopewa ni kwa ajili ya kuandaa Katiba mpya ya kuipeleka Tanzania kwa miaka zaidi ya 50 ijayo na siyo kujikita katika maslahi yao binafsi.

 

9 years ago

Habarileo

Padre akemea siasa za ukanda na ukabila

PADRE Msaidizi wa Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga, Jimbo Katoliki la Mbinga, Christian Mhagama amekemea tabia ya watu kuzungumzia ukanda na ukabila na kuonya kwamba jambo hilo sio jema kwa taifa na linarudisha nyuma maendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

Padre, Mbelgiji ‘kiranja’wa tamko la Wakristo

SIKU chache baada ya kutoka kauli zinazopingana za viongozi wa dini ya Kikristo kuhusu upigiaji kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa, imebainika kuwa Kasisi wa Umoja wa Wanazuoni Wakristo Tanzania (CPT), Padre Vic Missien, ndiye chanzo cha matamko ambayo yametoka hivi karibuni na kusababisha mkanganyiko kwa waumini.

 

9 years ago

Mtanzania

Padre mtarajiwa kizimbani kwa mauaji

Pg 3 sept 10NA JANETH MUSHI, ARUSHA

MTUHUMIWA wa mauaji katika Hoteli ya A Square Belmont jijini Arusha, Elijus Lyatuu (31), ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano wa masomo ya falsafa katika Chuo cha Kanisa la Katoliki Segerea jijini Dar es Salaam, amepandishwa kizimbani na kusomewa shtaka la mauaji.

Mtuhumiwa huyo, alifikishwa mahakamani jana saa 4:30 asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi ndani ya gari aina ya Toyota Land Cruiser yenye namba za usajili  PT 1434.

Mwendesha mashtaka wa Serikali,...

 

10 years ago

GPL

JERRY SILAA ATEMBELEA KATA YA NKOLOLO, AKUTANA NA PADRE PAULO

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Jerry Silaa akisalimiana na Padre Paulo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani