Padre: Wabunge acheni ubinafsi
WABUNGE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutambua kwamba karama na uwezo waliopewa ni kwa ajili ya kuandaa Katiba mpya ya kuipeleka Tanzania kwa miaka zaidi ya 50 ijayo na siyo kujikita katika maslahi yao binafsi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
'NGO's Kilimanjaro acheni ubinafsi'
BODI ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO's) imeeleza kutoridhishwa na uhusiano mbovu baina ya mashirika hayo mkoani Kilimanjaro. Imesema hali hiyo inasababisha Bodi kukosa mjumbe wake kitaifa kutoka mkoani humo.
11 years ago
Habarileo04 Mar
'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'
WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Ubinafsi wa wabunge umezaa milioni 160/-
MOJA ya taarifa iliyonishtua ni ya wabunge kupata kiasi cha sh milioni 160 kila mmoja kama fao lililotengwa na Hazina tangu mwaka jana. Wabunge wamejiongezea asilimia 272 ya kiinua mgongo...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Wabunge kutaka wapewe ulinzi ni ubinafsi uliokithiri!
HAPANA! Wanasema ni ulevi wa madaraka. Lakini nini kimesababisha ulevi huu jamani? Nasikia sasa kuna mbunge keshaona ya ulimwengu huu aliyonayo hayamtoshi sasa anataka apewe ulinzi. Ebo! Kwani yamekuwa hayo sasa kwa wabunge...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Padre Katoliki amtaka Lowassa
PAROKO wa Parokia ya Kabanga mkoani Kigoma, Padre Baptiste Mapunda, amempigia debe mgombea anayemtaka kuwa Rais wa Tano wa Tanzania, akimtaja kuwa ni mtu anayeonekana mbaya machoni mwa watu.
Akihubiri katika ibasa maalumu ya kuadhimisha miaka 25 ya upadre wake katika Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese jijini Dar es Salaam jana, Padre Mapunda, bila kutaja jina la mwanasiasa huyo, alisema mtu anayeonekana mchafu anaweza kubadilika na kuleta mabadiliko nchini.
“Tanzania si nchi...
10 years ago
Habarileo23 Mar
Padre, Mbelgiji ‘kiranja’wa tamko la Wakristo
SIKU chache baada ya kutoka kauli zinazopingana za viongozi wa dini ya Kikristo kuhusu upigiaji kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa, imebainika kuwa Kasisi wa Umoja wa Wanazuoni Wakristo Tanzania (CPT), Padre Vic Missien, ndiye chanzo cha matamko ambayo yametoka hivi karibuni na kusababisha mkanganyiko kwa waumini.
9 years ago
Habarileo06 Jan
Padre akemea siasa za ukanda na ukabila
PADRE Msaidizi wa Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga, Jimbo Katoliki la Mbinga, Christian Mhagama amekemea tabia ya watu kuzungumzia ukanda na ukabila na kuonya kwamba jambo hilo sio jema kwa taifa na linarudisha nyuma maendeleo.
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Padre mtarajiwa kizimbani kwa mauaji
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MTUHUMIWA wa mauaji katika Hoteli ya A Square Belmont jijini Arusha, Elijus Lyatuu (31), ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano wa masomo ya falsafa katika Chuo cha Kanisa la Katoliki Segerea jijini Dar es Salaam, amepandishwa kizimbani na kusomewa shtaka la mauaji.
Mtuhumiwa huyo, alifikishwa mahakamani jana saa 4:30 asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi ndani ya gari aina ya Toyota Land Cruiser yenye namba za usajili PT 1434.
Mwendesha mashtaka wa Serikali,...