Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Padre: Wabunge acheni ubinafsi

WABUNGE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutambua kwamba karama na uwezo waliopewa ni kwa ajili ya kuandaa Katiba mpya ya kuipeleka Tanzania kwa miaka zaidi ya 50 ijayo na siyo kujikita katika maslahi yao binafsi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'NGO's Kilimanjaro acheni ubinafsi'

BODI ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO's) imeeleza kutoridhishwa na uhusiano mbovu baina ya mashirika hayo mkoani Kilimanjaro. Imesema hali hiyo inasababisha Bodi kukosa mjumbe wake kitaifa kutoka mkoani humo.

 

11 years ago

Habarileo

'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubinafsi wa wabunge umezaa milioni 160/-

MOJA ya taarifa iliyonishtua ni ya wabunge kupata kiasi cha sh milioni 160 kila mmoja kama fao lililotengwa na Hazina tangu mwaka jana. Wabunge wamejiongezea asilimia 272 ya kiinua mgongo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge kutaka wapewe ulinzi ni ubinafsi uliokithiri!

HAPANA! Wanasema ni ulevi wa madaraka. Lakini nini kimesababisha ulevi huu jamani? Nasikia sasa kuna mbunge keshaona ya ulimwengu huu aliyonayo hayamtoshi sasa anataka apewe ulinzi. Ebo! Kwani yamekuwa hayo sasa kwa wabunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Padre Katoliki amtaka Lowassa

PAROKO wa Parokia ya Kabanga mkoani Kigoma, Padre Baptiste Mapunda, amempigia debe mgombea anayemtaka kuwa Rais wa Tano wa Tanzania, akimtaja kuwa ni mtu anayeonekana mbaya machoni mwa watu.

Akihubiri katika ibasa maalumu ya kuadhimisha miaka 25 ya upadre wake katika Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese jijini Dar es Salaam jana, Padre Mapunda, bila kutaja jina la mwanasiasa huyo, alisema mtu anayeonekana mchafu anaweza kubadilika na kuleta mabadiliko nchini.

“Tanzania si nchi...

 

10 years ago

Habarileo

Padre, Mbelgiji ‘kiranja’wa tamko la Wakristo

SIKU chache baada ya kutoka kauli zinazopingana za viongozi wa dini ya Kikristo kuhusu upigiaji kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa, imebainika kuwa Kasisi wa Umoja wa Wanazuoni Wakristo Tanzania (CPT), Padre Vic Missien, ndiye chanzo cha matamko ambayo yametoka hivi karibuni na kusababisha mkanganyiko kwa waumini.

 

9 years ago

Habarileo

Padre akemea siasa za ukanda na ukabila

PADRE Msaidizi wa Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga, Jimbo Katoliki la Mbinga, Christian Mhagama amekemea tabia ya watu kuzungumzia ukanda na ukabila na kuonya kwamba jambo hilo sio jema kwa taifa na linarudisha nyuma maendeleo.

 

9 years ago

Mtanzania

Padre mtarajiwa kizimbani kwa mauaji

Pg 3 sept 10NA JANETH MUSHI, ARUSHA

MTUHUMIWA wa mauaji katika Hoteli ya A Square Belmont jijini Arusha, Elijus Lyatuu (31), ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano wa masomo ya falsafa katika Chuo cha Kanisa la Katoliki Segerea jijini Dar es Salaam, amepandishwa kizimbani na kusomewa shtaka la mauaji.

Mtuhumiwa huyo, alifikishwa mahakamani jana saa 4:30 asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi ndani ya gari aina ya Toyota Land Cruiser yenye namba za usajili  PT 1434.

Mwendesha mashtaka wa Serikali,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani