PAPA AKUBALI KADINALI WA UFARANSA AJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-akLOcyAbkh8/XmJrCBzl1MI/AAAAAAAA9nk/Q2-zqq-iPM8CG_LMA4bU8jKsZjPA2AfBwCNcBGAsYHQ/s72-c/umushumba_wa_kiliziya_gatolika_ku_isi_papa_francis-59895.jpg)
Papa Francis amekubali kujiuzulu kwa Kadinali wa Ufaransa Philippe Barbain, ambaye alikutwa na hatia na kisha kuondolewa mashitaka kwa kushindwa kuripoti madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto.
Kadinali Barbain wa Lyon mwenye umri wa miaka 69, aliomba kujiuzulu wakati mahakama ya Lyon ilipomtia hatiani kwa mara ya kwanza mnamo Machi 2019, na kumpa adhabu ya kifungo iliyoahirishwa kwa miezi sita.
Barbain alituhumiwa kushindwa kumripoti Padri Bernard Preynat polisi hata baada ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Majambazi wampora kadinali Brazil
9 years ago
MichuziKADINALI PENGO AZUNGUMZIA SWALA LA UKATILI WA JINSIA
Wakati Tanzania kesho inazindua kampeni ya kuzuia ukatili wa kijinsia, Askofu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu Dar es Salam, Mwadhama, Polycarp Kadinali...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s72-c/Gwajima.jpg)
GWAJIMA AZIRAI AKIHOJIWA NA POLISI, NI KUFUATIA MANENO YA KASHFA DHIDI YA KADINALI PENGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s1600/Gwajima.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pnoiM0-Y6S8/VRY5LrxGAMI/AAAAAAAARrc/Dc3kkU_MJ58/s640/Josephat%2BGwajima.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gm3V9mscam4/VRY5L7r8KYI/AAAAAAAARrk/apJSPbrvsL0/s640/Gwajima2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DvFn21LrTys/VRY5XdsFPWI/AAAAAAAARrw/Fm687Ymv2mk/s640/gwaji.jpg)
Kiongozi wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amezirai Ijumaa...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0nlhzv43AwI/VD6KbsO1jwI/AAAAAAAGqrI/AWv2wsQv2c8/s72-c/unnamed2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AZINDUA RASMI UKUMBI WA MIKUTANO WA MWADHAMA LAUREAN KADINALI RUGAMBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nlhzv43AwI/VD6KbsO1jwI/AAAAAAAGqrI/AWv2wsQv2c8/s1600/unnamed2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0aJ-BaiXf9Q/VD6KbrHwnJI/AAAAAAAGqrM/7QHMmMXlp4c/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Nchimbi akubali yaishe
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa yeye na mawaziri wenzake watatu walikubali kuwajibika kutokana na makosa yaliyofanywa na askari wakati wa kutekeleza Operesheni Tokomeza Ujangili....