Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KADINALI PENGO AZUNGUMZIA SWALA LA UKATILI WA JINSIA

Askofu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kadinali Pengo (kushoto), akizungumza kuhusiana na kampeni ya siku 16 za kupambana na ukatili wa kijinsia na waandishi wa habari na wanasheria wa Kituo cha Msaada wa Kisheria (WLAC), nyumbani kwake, Kurasini Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Picha na Joseph Zablon.
Wakati Tanzania kesho inazindua kampeni ya kuzuia ukatili wa kijinsia, Askofu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu Dar es Salam, Mwadhama, Polycarp Kadinali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA AZIRAI AKIHOJIWA NA POLISI, NI KUFUATIA MANENO YA KASHFA DHIDI YA KADINALI PENGO

Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima, Josephat Gwajima, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam leoGwajima akizungumza na waandhishi wa habari alipowasili kituo kikuu cha polisi kati jijini Dar es Salaam Ijumaa Machi 27, 2015, kufuatia polisi kumtaka ajisalimishe mwenyeweGwajima, wakili wake, wafuasi na walinzi wake wakielekea kituo kikuu cha polisi kati Ijumaa Machi 27, 2015Gwajima kabla ya kuzirai
Kiongozi wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amezirai Ijumaa...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo alielazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo January 1, 2016. Kardinali Pengo alilazwa hospitalini hapo jana jioni kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya yake. PICHA NA IKULU

 

11 years ago

GPL

JOHARI AZUNGUMZIA PENGO LA KANUMBA

Msanii wa Filamu Bongo, Johari. Wikiiliyopita tulianza makala haya yamhusuyo maisha ya msanii wa Filamu Bongo, Johari, sasa endelea kufuatilia mahojiano yake mwandishi wetu Sifael Paul. Sifael: Wewe ni miongoni mwa waigizaji wachache wakongwe, je, hadi sasa umecheza filamu ngapi?
Johari: Ni nyingi sana lakini nilizocheza kama main character (mhusika mkuu) ni zaidi ya filamu thelathini.
Sifael: Hapo katikati kulipita ukimya...

 

5 years ago

Bongo5

Mchungaji Lwakatare azungumzia kuziba pengo la Sophia Simba

Mchungaji wa kanisa la Assemblies Of God maarufu kama ‘Mlima wa moto’ Dk Getrude Lakwatare, lililopo Mikocheni B, amemshukuru Rais Dk. John Magufuli kwa kumkumbuka na kumteua katika nafasi ya ubunge wa Viti Maalumu.

Mama Lwakatare alitoa shukrani hizo wakati wa Ibada ya Pasaka katika kanisa hilo.

“Tunasherehekea kumbukumbu ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu ambaye alitufia pale msalabani. Pasaka ya mwaka huu ni yangu, Mungu ameniona. “Nina furaha ya mwili na roho kwa sababu Yesu amefufuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Ukatili wa jinsia janga la kitaifa’

NAIBU Mkurugenzi wa Mradi wa Champion, Dk. Monica Mhoja, amesema Tanzania inapaswa kuwa na mkakati wa kipekee katika kukabiliana na ukatili wa jinsia kwa kuwa ni janga la kitaifa. Alisema...

 

9 years ago

Mwananchi

Pengo: Sheria za makosa ya ukatili wa kijinsia zina walakini

Wakati kesho Tanzania inazindua kampeni ya kuzuia ukatili wa kijinsia, Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo amesema sheria dhidi ya makosa hayo zina walakini ambao unahitaji kufanyiwa marekebisho ili kumlinda mtoto wa kike.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu ukatili wa jinsia kuwasaidia Chamwino

UKATILI wa kijinsia ni kitendo kinachoweza kusababisha madhara au mateso ya kisaikolojia kwa mtu. Miongoni mwa vitendo vya kikatili ni pamoja na kutishia na kunyima uhuru, kunyimwa mahitaji muhimu na...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Seed Trust, Margareth Mkanga (MB) akizungumza katika kongamano hilo. Kulia ni Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga. Kongamano hilo la Majadiliano kuhusiana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na walemavu limeshirikisha wadau mbalimbali kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania na kuandaliwa na Shirika la Seed Trust la mjini Morogoro kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani