‘Ukatili wa jinsia janga la kitaifa’
NAIBU Mkurugenzi wa Mradi wa Champion, Dk. Monica Mhoja, amesema Tanzania inapaswa kuwa na mkakati wa kipekee katika kukabiliana na ukatili wa jinsia kwa kuwa ni janga la kitaifa. Alisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Jun
Waziri: Viroba ni janga la kitaifa
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene amesema ipo haja ya pombe zinazouzwa zikiwa zimefungwa kwenye mifuko midogo ya plastiki maarufu kama viroba kuondolewa kwani ni janga la taifa linalosababisa ulevi kila eneo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-I71BQfRggtw/XqADdk20R6I/AAAAAAAC3sA/EdgtPTKayPssAxdQWgjIr4E_bdc6WZRnACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-I71BQfRggtw/XqADdk20R6I/AAAAAAAC3sA/EdgtPTKayPssAxdQWgjIr4E_bdc6WZRnACLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Maombi hayo yameandaliwa na wizara ya afya kwa kushirikiana na viongozi wa madhehebu ya dini nchini, na yanafanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Ataka Homa ya ini itangazwe janga la kitaifa
SERIKALI imetakiwa kutangaza ugonjwa wa homa ya ini kuwa janga la kitaifa kutokana na kuongezeka kwa kasi kwa ugonjwa huo. Akizungumza na Tanzania Daima jumapili, Kaimu Mratibu Huduma za Selimundu...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Elimu ukatili wa jinsia kuwasaidia Chamwino
UKATILI wa kijinsia ni kitendo kinachoweza kusababisha madhara au mateso ya kisaikolojia kwa mtu. Miongoni mwa vitendo vya kikatili ni pamoja na kutishia na kunyima uhuru, kunyimwa mahitaji muhimu na...
9 years ago
MichuziKADINALI PENGO AZUNGUMZIA SWALA LA UKATILI WA JINSIA
Wakati Tanzania kesho inazindua kampeni ya kuzuia ukatili wa kijinsia, Askofu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu Dar es Salam, Mwadhama, Polycarp Kadinali...
5 years ago
Michuzi21 Apr
MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KUFANYIKA APRILI 22,2020
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.
Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa...
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
GPLKONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z-egHoIE3WI/Xp595q655nI/AAAAAAALnpg/E5VBg3zmscEIdJFuGGF8q1YeIdhbyj7AQCLcBGAsYHQ/s72-c/afya.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUONGOZA MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-egHoIE3WI/Xp595q655nI/AAAAAAALnpg/E5VBg3zmscEIdJFuGGF8q1YeIdhbyj7AQCLcBGAsYHQ/s1600/afya.jpg)
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara, Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa...