Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAPA WEMBA NDANI YA BAGAMOYO

Jukwaa ambapo shoo ya Papa Wemba itafanyika muda mfupi ujao katika Viwanja vya Mwanakalenga, Bagamoyo. Jukwaa likiwa limepambwa. Baadhi ya watoa hudum ya kwanza wakiwa wamejipanga kutimiza wajibu wao endapo tatizo likitokea.
Baadhi ya watoto waliohudhuria tamasha hilo mwalimu Masayo Inoue anayefundisha michezo mbalimbali ya watoto. Kikundi cha… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Papa Wemba to grace the stage in Bagamoyo

After a long wait the second edition of the Karibu Music Festival 2015 kicks off today with a promise of a star cast of artistes both local and foreign.

 

9 years ago

Dewji Blog

KARIBU MUSIC FESTIVALS 2015: Papa Wemba afanya maajabu Bagamoyo!

DSC_1032

Mwanamuziki nguli wa dansi kutoka DRC Congo, Papaa Wemba  kushoto akiimba na kucheza sambamba na madansa wake  jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la muzuki la Karibu Music Festival msimu wa pili linaloendelea katika viwanja vya Mwanakalenge,mjini Bagamoyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA]  Mwanamuziki kutoka Congo mwenye makazi yake nchini Ufaransa, Papaa Wemba, ameweza kuonyesha ukomavu wake kwenye muziki wa dansi licha...

 

9 years ago

Bongo5

Papa Wemba kutumbuiza kwenye tamasha la muziki la Karibu, Bagamoyo, Nov 6

papa-wembaMuimbaji mkongwe wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Papa Wemba, ni mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha la muziki la Karibu litakalofanyika kuanzia November 6 – 8. Tamasha hilo la muziki wa live litafanyika kwenye viwanja vya Mwanakalenge mjini Bagamoyo. Wasanii wengine watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo wanasomeka kwenye poster hiyo chini. Wasanii wa ndani watakaitumbuiza […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Papa Wemba awasili Dar, aelekea Bagamoyo kwenye Tamasha la Karibu Music Festival 2015

Mwanamuziki Papa Wemba (kulia) akisalimiana na mwenyeji wake waandaaji wa Tamasha la Karibu Music Festival 2015 mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wake anayeratibu safari hiyo, Chebli Msaidie akimtambulisha kwa wenyeji wao. Mwanamuziki Papa Wemba akiwa katika picha ya pamoja na wasanii alioambatana nao waliomo katika bandi yake mara baada ya kutua Tanzania tayari kufanya mashambulizi katika Tamasha la...

 

9 years ago

Michuzi

Mwanamuziki Papa Wemba Awasili Dar, Aelekea Bagamoyo Kunogesha Tamasha la Karibu Music Festival 2015

MWANAMUZIKI nguli wa ndansi kutoka nchini Congo (DRC) Papa Wemba amewasili usiku huu jijini Dar es Salaam tayari kwa kutumbuiza katika tamasha la Karibu Music Festival 2015. 
Papa Wemba ametua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere (JNIA) majira ya saa nane kasoro na ndege ya shirika la Kenya (Kenya Airways-KQ). 
 Mara baada ya kuwasili msanii huyo pamoja na wanamuziki wake walipokewa na Meneja wake anayeratibu safari hiyo, Chebli Msaidie pamoja na waandaaji wa Tamasha...

 

9 years ago

TheCitizen

Papa Wemba thrills at festival

Congolese crooner, Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba, popularly known as Papa Wemba, was the toast on the second day of Karibu Music Festival in Bagamoyo yesterday.

 

9 years ago

Mwananchi

Papa Wemba asisitiza upendo Afrika Mashariki

Mwanamuziki kutoka DR Kongo mwenye makazi yake nchini Ufaransa, Papa Wemba amesema upendo ni kitendo kinachopaswa kuonyeshwa katika Ukanda wa Afrika Mashariki ili kukuza maendeleo katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi.

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Muziki

papa-wembaHERIETH FAUSTINE NA ESTHER MNYIKA

WASANII wa ndani na nje ya nchi wanatarajia kutumbuiza katika tamasha la Karibu Music Festival 2015 huku mgeni mwalikwa akiwa ni mwanamuziki kutoka Congo, Papa Wemba.

Wasanii wengine wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo ni Jhikolaman, Isha Mashauzi, Damian Soul, Juma Nature, Barnaba, Shilole, mshindi wa pili wa BSS, Nassib Fonabo na bendi yake ya Spirit na wengine wengi.

Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 6 hadi 8 katika viwanja vya...

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Wemba kunogesha Karibu Festival kesho kutwa

Papa WembaNA FESTO POLEA

TAMASHA la Karibu Music Festival 2015, litazinduliwa Novemba 6 hadi 8 mwaka huu katika viwanja vya Mwanakalenge, Bagamoyo, huku mwanamuziki kutoka Congo, Papa Wemba, akitarajiwa kulinogesha.

Katika Tamasha hilo lenye lengo la kukuza muziki wa Afrika, wasanii wa bongo fleva, wasanii na vikundi vya ngoma na nyimbo za asili watatumbuiza, lakini pia warsha za mafunzo mbalimbali kuhusu sanaa zitaendeshwa.

Baadhi ya wasanii wanaotarajiwa kutoa burudani ya kutosha katika siku tatu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani