Papa Wemba to grace the stage in Bagamoyo
After a long wait the second edition of the Karibu Music Festival 2015 kicks off today with a promise of a star cast of artistes both local and foreign.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/papa-wemba-bagamoyo-4.jpg?width=640)
PAPA WEMBA NDANI YA BAGAMOYO
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
KARIBU MUSIC FESTIVALS 2015: Papa Wemba afanya maajabu Bagamoyo!
Mwanamuziki nguli wa dansi kutoka DRC Congo, Papaa Wemba kushoto akiimba na kucheza sambamba na madansa wake jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la muzuki la Karibu Music Festival msimu wa pili linaloendelea katika viwanja vya Mwanakalenge,mjini Bagamoyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Mwanamuziki kutoka Congo mwenye makazi yake nchini Ufaransa, Papaa Wemba, ameweza kuonyesha ukomavu wake kwenye muziki wa dansi licha...
9 years ago
Bongo502 Nov
Papa Wemba kutumbuiza kwenye tamasha la muziki la Karibu, Bagamoyo, Nov 6
![papa-wemba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/papa-wemba-94x94.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Papa Wemba awasili Dar, aelekea Bagamoyo kwenye Tamasha la Karibu Music Festival 2015
9 years ago
MichuziMwanamuziki Papa Wemba Awasili Dar, Aelekea Bagamoyo Kunogesha Tamasha la Karibu Music Festival 2015
Papa Wemba ametua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julias Nyerere (JNIA) majira ya saa nane kasoro na ndege ya shirika la Kenya (Kenya Airways-KQ).
Mara baada ya kuwasili msanii huyo pamoja na wanamuziki wake walipokewa na Meneja wake anayeratibu safari hiyo, Chebli Msaidie pamoja na waandaaji wa Tamasha...
9 years ago
TheCitizen09 Nov
Papa Wemba thrills at festival
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Muziki
HERIETH FAUSTINE NA ESTHER MNYIKA
WASANII wa ndani na nje ya nchi wanatarajia kutumbuiza katika tamasha la Karibu Music Festival 2015 huku mgeni mwalikwa akiwa ni mwanamuziki kutoka Congo, Papa Wemba.
Wasanii wengine wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo ni Jhikolaman, Isha Mashauzi, Damian Soul, Juma Nature, Barnaba, Shilole, mshindi wa pili wa BSS, Nassib Fonabo na bendi yake ya Spirit na wengine wengi.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 6 hadi 8 katika viwanja vya...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Papa Wemba asisitiza upendo Afrika Mashariki
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Papa Wemba: Karibu Music Festival ni tamasha la kipekee
Na Hassan Bumbuli
TAMASHA la Karibu Music Festival lililomalizika hivi karibuni mjini Bagamoyo limeacha kumbukumbu ya mambo mengi kwa wapenzi wa sanaa ya muziki hapa nchini. Licha ya kwamba ni tamasha changa, lakini hakuna mtu anayeweza kufirikia kwamba ilikuwa ni mara ya pili kwa tamasha hilo kufanyika kutokana na jinsi lilivyoandaliwa kwa ufanisi mkubwa.
Mbali na maandalizi mazuri, lakini ubora wa kazi za sanaa zilizoonyeshwa jukwaani na wanamuziki mbalimbali ni sehemu ya mambo...