Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paris: Watu 3 wakamatwa Ubelgiji

Polisi wa Ubelgiji wamewakamata watu watatu kususiana na gari lililokodishwa nchini humo na kupatikana karibu na mojawapo ya eneo la tukio huko Paris.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Paris:mshukiwa mkuu ni raia wa Ubelgiji

Kufuatia mashambulizi ya kigaidi mjini Paris uchunguzi unamlenga raia mmoja wa Ubelgiji mwenye asili ya Morocco anayedhaniwa kuwa ndiye aliyepanga njama hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Air France: Abiria 2 wakamatwa Paris

Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni mume na mkewe waliokuwa wakisafiri katika ndege ya Air France iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya kufuatia tishio la bomu

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wakamatwa wakisafirisha Miraa UK

Polisi wamewakamata wanawake watatu raia wa Indonesia katika uwanja wa ndege wa Moi mjini Mombasa Kenya wakisafirisha miraa

 

10 years ago

Habarileo

Watu 141 wakamatwa katika msako

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Ernest Mangu.JESHI la Polisi nchini kupitia Kitengo cha Interpol limewakamata watu 141 kwa makosa mbalimbali kupitia operesheni maalumu iliyofanyika kwa siku mbili kuanzia Juni 4 hadi 5, mwaka huu ikiwa imefanyika kwa wakati mmoja katika nchi 25 wanachama barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wakamatwa kwa ufisadi Brazil

Polisi nchini Brazil wamevamia majimbo sita katika oparesheni kubwa ya kuchunguza ufisadi kwenye kampuni ya Petrobras.

 

9 years ago

GPL

WATU 38 WANAOJIHUSISHA NA UGAIDI WAKAMATWA NA SILAHA

Kova akionesha msisitizo wa jambo fulani. Kamanda Kova akionyesha baadhi ya silaha zilizokamatwa wakati wa oparesheni inayoendelea.…

 

11 years ago

Mwananchi

Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe

Polisi inawashikilia watuhumiwa watatu kwa madai ya kuhusika na wizi wa ng’ombe 15, ambao waliibwa wilayani Misungwi mkoani hapa usiku wa Mei 9.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya

>Watu watatu wamekamatwa wakihusishwa na mauaji ta mkuu wa zamani wa ujasusi wa Rwanda, Patrick Karegeya aliyekutwa akiwa amekufa kwenye Hoteli ya Sandton mjini Johannesburg, Afrika Kusini wiki moja iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani