Paris: Watu 3 wakamatwa Ubelgiji
Polisi wa Ubelgiji wamewakamata watu watatu kususiana na gari lililokodishwa nchini humo na kupatikana karibu na mojawapo ya eneo la tukio huko Paris.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Paris:mshukiwa mkuu ni raia wa Ubelgiji
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Air France: Abiria 2 wakamatwa Paris
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Watu 3 wakamatwa wakisafirisha Miraa UK
10 years ago
Habarileo13 Jun
Watu 141 wakamatwa katika msako
JESHI la Polisi nchini kupitia Kitengo cha Interpol limewakamata watu 141 kwa makosa mbalimbali kupitia operesheni maalumu iliyofanyika kwa siku mbili kuanzia Juni 4 hadi 5, mwaka huu ikiwa imefanyika kwa wakati mmoja katika nchi 25 wanachama barani Afrika.
10 years ago
BBCSwahili15 Nov
Watu 18 wakamatwa kwa ufisadi Brazil
9 years ago
GPLWATU 38 WANAOJIHUSISHA NA UGAIDI WAKAMATWA NA SILAHA
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya