Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 141 wakamatwa katika msako

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Ernest Mangu.JESHI la Polisi nchini kupitia Kitengo cha Interpol limewakamata watu 141 kwa makosa mbalimbali kupitia operesheni maalumu iliyofanyika kwa siku mbili kuanzia Juni 4 hadi 5, mwaka huu ikiwa imefanyika kwa wakati mmoja katika nchi 25 wanachama barani Afrika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola (kushoto) akionyesha baadhi ya nyara walizokutwa nazo waganga hao.…

 

11 years ago

Mwananchi

Msako wanasa watu saba na meno ya tembo

Kikosi cha Kupambana na Ujangili Kanda ya Kati (KDU) kimefanikiwa kukamata vipande 59 vya meno ya tembo vikiwa na uzito wa zaidi ya kilo 200 vyenye thamani ya Sh176.7 milioni sawa na tembo 29.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi msako wa watu waliokaribiana na wagonjwa unavyofanyika duniani

Mamilioni ya watu Uingereza hivi karibuni watahitajika kupakua programu ya kusaidia kupunguza usambaaji wa virusi vya corona

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wakamatwa wakisafirisha Miraa UK

Polisi wamewakamata wanawake watatu raia wa Indonesia katika uwanja wa ndege wa Moi mjini Mombasa Kenya wakisafirisha miraa

 

9 years ago

BBCSwahili

Paris: Watu 3 wakamatwa Ubelgiji

Polisi wa Ubelgiji wamewakamata watu watatu kususiana na gari lililokodishwa nchini humo na kupatikana karibu na mojawapo ya eneo la tukio huko Paris.

 

9 years ago

GPL

WATU 38 WANAOJIHUSISHA NA UGAIDI WAKAMATWA NA SILAHA

Kova akionesha msisitizo wa jambo fulani. Kamanda Kova akionyesha baadhi ya silaha zilizokamatwa wakati wa oparesheni inayoendelea.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wakamatwa kwa ufisadi Brazil

Polisi nchini Brazil wamevamia majimbo sita katika oparesheni kubwa ya kuchunguza ufisadi kwenye kampuni ya Petrobras.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe

Polisi inawashikilia watuhumiwa watatu kwa madai ya kuhusika na wizi wa ng’ombe 15, ambao waliibwa wilayani Misungwi mkoani hapa usiku wa Mei 9.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya

Serikali ya Kenya imesema kwa sasa inawashikilia zaidi ya watu elfu nne kufuatia operesheni usalama mjini Nairobi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani