Watu 141 wakamatwa katika msako
JESHI la Polisi nchini kupitia Kitengo cha Interpol limewakamata watu 141 kwa makosa mbalimbali kupitia operesheni maalumu iliyofanyika kwa siku mbili kuanzia Juni 4 hadi 5, mwaka huu ikiwa imefanyika kwa wakati mmoja katika nchi 25 wanachama barani Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola (kushoto) akionyesha baadhi ya nyara walizokutwa nazo waganga hao.…
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Msako wanasa watu saba na meno ya tembo
Kikosi cha Kupambana na Ujangili Kanda ya Kati (KDU) kimefanikiwa kukamata vipande 59 vya meno ya tembo vikiwa na uzito wa zaidi ya kilo 200 vyenye thamani ya Sh176.7 milioni sawa na tembo 29.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Jinsi msako wa watu waliokaribiana na wagonjwa unavyofanyika duniani
Mamilioni ya watu Uingereza hivi karibuni watahitajika kupakua programu ya kusaidia kupunguza usambaaji wa virusi vya corona
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Watu 3 wakamatwa wakisafirisha Miraa UK
Polisi wamewakamata wanawake watatu raia wa Indonesia katika uwanja wa ndege wa Moi mjini Mombasa Kenya wakisafirisha miraa
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Paris: Watu 3 wakamatwa Ubelgiji
Polisi wa Ubelgiji wamewakamata watu watatu kususiana na gari lililokodishwa nchini humo na kupatikana karibu na mojawapo ya eneo la tukio huko Paris.
9 years ago
GPLWATU 38 WANAOJIHUSISHA NA UGAIDI WAKAMATWA NA SILAHA
Kova akionesha msisitizo wa jambo fulani. Kamanda Kova akionyesha baadhi ya silaha zilizokamatwa wakati wa oparesheni inayoendelea.…
10 years ago
BBCSwahili15 Nov
Watu 18 wakamatwa kwa ufisadi Brazil
Polisi nchini Brazil wamevamia majimbo sita katika oparesheni kubwa ya kuchunguza ufisadi kwenye kampuni ya Petrobras.
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe
Polisi inawashikilia watuhumiwa watatu kwa madai ya kuhusika na wizi wa ng’ombe 15, ambao waliibwa wilayani Misungwi mkoani hapa usiku wa Mei 9.
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya
Serikali ya Kenya imesema kwa sasa inawashikilia zaidi ya watu elfu nne kufuatia operesheni usalama mjini Nairobi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania