Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Patrice Lumumba: ‘Mbega’ aliyeponzwa na manyoya yake

Ni miaka 53 imepita tangu kufanyika kwa mauaji ambayo unaweza kuyaita ni mabaya kwenye karne ya 20.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyeponzwa na tattoo za Diamond afunguka

MWANADADA anayedaiwa kutoka kimahaba na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond’, Farida Msofe, amefunguka kuwa aliyekuwa mume wake ndiye chanzo cha yeye kuwa na mapenzi na msanii...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manyoya ya twiga hutoa harufu ya kinga

KATIKA moja ya makala zilizotangulia tuliona kuwa ingawa wanaonekana wanafanana, lakini twiga wanaweza kutofautishwa na mpangilio wa urembo wa rangi zao za ngozi. Leo tuendelee kuangalia sifa za mnyama huyu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BLAISE COMPAORE: Rais aliyeponzwa na mabadiliko ya Katiba

OKTOBA 31 mwaka huu, aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso, Jenerali Honore Traore alijitangaza kuwa Rais baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Blaise Compaore....

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wa pamba Mara wagomea mbegu za manyoya

WAKULIMA wa pamba wa Mara wameiomba Bodi ya Pamba kuwasambazia mbegu zisizo na manyoya kwa sababu ndizo zinazoota kwa urahisi na kwa wakati muafaka katika maeneo yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Monica Mbega ajitosa urais

Dodoma. Makada wa CCM, wameendelea kupigana vikumbo katika ofisi za makao makuu ya chama hicho mjini hapa kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea urais. Jana ilikuwa zamu ya Balozi Augustine Mahiga na Monica Mbega aliyejitosa kimya kimya.

 

10 years ago

Mtanzania

Monica Mbega ajihakikishia kwenda Ikulu

Na Francis Godwin, Iringa

WAKATI mbio za makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaowania nafasi ya kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho zikiendelea kushika kasi, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Monica Mbega, jana ameingia mkoani hapa na kupata wadhamini 33.

Mwanamama huyo aliwataka Watanzania kutoaminishwa na mbwembwe za wagombea wenzake wanazofanya mikoani na kusema kuwa yeye ndiye rais wa awamu ya tano, huku akiwaomba Watanzania wamuunge mkono.

Mbega, ambaye alilazimika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Monica Mbega: Ikulu ni zamu yangu wengine wasindikizaji

1

Aliyekuwa  mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini Monica Mbega  akionyesha fomu yenye orodha ya wana CCM  33 wa mkoa  wa Iringa waliomdhamini katika  safari  yake ya  kuomba kuteuliwa  kuwa mgombea Urais wa Jamahuri ya  Muungano wa Tanzania  kupitia CCM jana mjini Iringa (picha na Francis Godwin). 3 Monica  Mbega (kulia) akifurahi pamoja na wana CCM Iringa mjini ambao  walijitokeza kumdhamini  kuwa mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM (picha na Francis Godwin). 01 Naibu  meya wa Manispaa ya ...

 

10 years ago

Michuzi

IKULU NI ZAMU YANGU WENGINE WASINDIKIZAJI - MONICA MBEGA

Na  Matukiodaima Blog
WAKATI mbio za makada  wa chama  cha mapinduzi (CCM)  waliotia nia ya  kuomba  kuteuliwa  kuwa wagombea wa nafasi za urais zikiendelea  kushika kasi kwa  kila mgombea kutumia mbinu yake ya  kuwafikia wana CCM kuomba udhamini , aliyekuwa mbunge wa  jimbo la Iringa mjini Monica Mbega leo  ameingia wilaya ya Iringa mjini mkoani hapa  kuomba udhamini na kupata  wajumbe 33  huku akiwataka  watanzania kutoaminishwa na mbwembwe  za  watia nia wenzake wanazofanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani