Picha: Wema Sepetu na Steve Nyerere Wakiwa Ikulu ya Dodoma na Rais Kikwete
Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wabongo movies, Wema Sepetu na Steve Nyerere zilizo trend siku ya leo kwenye mtandao wa instagram wakiwa na Rais Kitwete Ikulu ndogo, Dodoma.
“Wakati nyie mnaongea upuuzi… Yangu yaninyookea….. Alhamdulillah… Wa moja havai mbili… Abadan asilan…. Earlier today… Ikulu… Dodoma… Thank u Mr.President”-Wema aliandika hayo kwenye moja ya picha hizo.
Kwa maneno hayo, inawezekana mastaa hawa wakawa wamepata shavu kutoka kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!
Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
9 years ago
Bongo Movies28 Aug
Wema Sepetu, Steve Nyerere Kuzindua ‘Mama Ongea na Mwanao’ Leo
Wasanii mbalimbali wakiongozwa na Wema Sepetu na Steve Nyerere leo wanatarajia kuzindua kampeni yao rasmi ya #MamaOngeaNaMwanao katika hotel ya Hyatt Kempinski jijini Dar Es Salaam.
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete atakuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo itakayohudhuriwa na wake wa viongozi mbalimbali kama Janet Magufuli, Salma Kikwete, Mama Shein, Mama Bilal, Tunu Pinda, Zhakia Meghji, Asha Rose Migiro, na wengine wengi.
Chanzo: cloudsfm.com
11 years ago
CloudsFM16 Jun
Picha: Mh. Rais Kikwete alipowaalika Wasanii chakula cha jioni IKULU ndogo Dodoma, #TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-9WikTilW0VE/U537n7zqK-I/AAAAAAAAFFA/Zis5C3NPlGU/s1600/Mpoto+1+copy.jpg)
#TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-M7CIZMvFeAg/U537icpfb5I/AAAAAAAAFE8/Vip3wEfEQcg/s1600/Kadinda%252C+Baby+an+Ommy+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DuXcw6gdhHM/U537XazH-LI/AAAAAAAAFEk/B1HT78Ei_gI/s1600/Izzo%252C+Perfect+an+Quick+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-itGX_OLSMAM/U537-_ypl8I/AAAAAAAAFFc/t_bdjsu9sWY/s1600/Uwoya%252C+Johari.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hkyVFzqn1Zw/U537ah_TGaI/AAAAAAAAFEs/vkWdoaYhstA/s1600/Jb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zYVLYn3ko_w/U53751O3l1I/AAAAAAAAFFU/GXmx9e8yuDY/s1600/Shilole+an+Mziwanda.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rti-jlB17QY/U537U4xINYI/AAAAAAAAFEU/bCfEcOkayX8/s1600/Fauzia+2+copy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C5J-v2XNSAI/U537yY2wpYI/AAAAAAAAFFM/fkazfl6HUKE/s1600/Queen+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7M0_e9IIeLA/U538I4T3WMI/AAAAAAAAFFs/BsF2FZq-f9o/s1600/Wolper+copy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ADC1Qhv9MPA/U538ELZjnVI/AAAAAAAAFFk/r2zjRBrVEsM/s1600/Wolper+an+Kajala.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d6Lp0wumc2Q/U537XWYkW5I/AAAAAAAAFEg/dA1QgUCiToU/s1600/G+copy.jpg)
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.
Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.
Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...
10 years ago
Bongo Movies26 Dec
Picha: Una Zungumziaje Picha Hizi za Wema na Aunty Ezekiel Wakiwa na Rafiki Yao Nice Chande
Boxing Day Moments: Baada ya hapo jana kuwa kwenye pilikapilika za siku kuu leo wengi wetu tumepumzika na kupiga stori za hapa na pale na jamaa zetu.Turudi kwenye mada.
Leo nilipoziona picha hizi za wadada hawa, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na rafiki yao Nice Chande wakiwa wamejilaza kitandani namna hii kwa haraka haraka nikahisi huu utakuwa ni uchovu wa siku kukuu kwani wanaonekana kama wapo “Cool” sana.Ila nilipotulia kidogo nikaona kitu ambacho ndicho kilichonifanya hizilete hapa picha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhq4i4w-bA0LV4BJ31rwUKTjwW0HXR1hzkf-t28qlMZJm4Gq*ZC6B13F5fKoc9AqRLvqpIAPnbfYuuZE44F47Ck/wem.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMUONYA WEMA
10 years ago
Bongo Movies09 May
Wema: Ray, Steve Nyerere Wanafiki Wakubwa
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ juzikati alijikuta akivunja ukimya kwa kusema kwamba, wasanii wenzake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ ni wanafiki wakubwa baada ya kumtosa kwenye Pati ya Instagram iliyofanyika hivi karibuni jijini Mwanza.
Akizungumza na paparazi wa GPL, Wema alisema alikubaliana na mastaa hao kutoenda kwenye Shoo ya Zari All White Party iliyofanyika Mlimani City jijini Dar badala yake waongozane naye jijini Mwanza lakini wakamgeuka.
“Sitaki...
10 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja