Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha ya Aunty na Kajala Kwenye ‘Baby Shower Party’ Yazua Minong’ono Mtandaoni

Picha ya mastaa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja wakiwa wamekumbatian kwenye sherehe ya Aunt Ezekiel ‘Baby Shower Party’ikiwa nikumpa zawadi mzazi mtarajiwa iliyofanyika usiku wa jana yazua minong’ono ya hapa na pale miongoni mwa walioandika komenti kwenye picha hiyo iliwekwa mtandaoni kuhusiana na mahusiano ya sasa ya kati ya Aunt na Wema Sepetu.

Aunt Ezekiel na Wema Sepetu  nimarafiki wa karibu sana japokuwa hivi juzi kati kuliripotiwa  na vyombo mablimbali vya ukudaku kuwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Picha za Baby Shower ya Rahima na Jason

  Muonekano wa Baby shower ya Rahima  na Jason iliyofanyika siku ya tarehe saba, mwezi wa pili katika mji wa Clarksburg kitongoji cha Maryland nchini Marekani, iliyoaandaliwa na ndugu na marafiki zake. Rahima na JasonDada wa Rahima, Bi Maryam kutoka North Carolina akisema neno la kuwa kushukuru wageni waalikwa. Pichani ni baadhi ya washiriki wa michezo iliyo chezwa katika baby shower hiyo.
 Kwa picha zaidi mtembelee Iskajojo Studios hapa

 

10 years ago

GPL

SHILOLE TUMBO LALAZUA MINONG’ONO

Mwigizaji na Msanii wa Bongo fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Stori: Musa Mateja KITUMBO cha mwigizaji Zuwena Mohamed ‘Shilole’, kimezua minong’ono ya aina yake kutoka kwa mashabiki na mastaa mbalimbali na kuwafanya wengi wao wabaki wakibishana kuwa mrembo huyo atakuwa katundikwa ujauzito na mchumba wake Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’. Tukio hilo lilitokea hivi… ...

 

11 years ago

GPL

KIGAUNI CHA WOLPER CHAIBUA MINONG’ONO

Stori: Shakoor Jongo MH! Kigauni kifupi alichotinga staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kimeibua minong’ono watu kuhoji kulikoni akivae hivyo ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe Tukio hilo lilowastaajabisha wengi lilijiri...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA KOMBA MINONG’ONO YAANZA

MWANDISHI WETU/Amani WAKATI mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga-Magharibi (CCM), Kapteni John Damiano Komba (61) ukizikwa juzi kijijini Lituhi mkoani Ruvuma, minong’ono kuhusiana na marehemu imezungumzwa na baadhi ya waombolezaji, Amani limeinasa. Mbunge wa Mbinga-Magharibi (CCM), Kapteni John Damiano Komba enzi za uhai wake. Komba alifariki dunia alasiri ya Jumamosi iliyopita katika Hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

GPL

AUNT AZUA MINONG’ONO UKUMBINI USIKU

STAA wa kiwango cha juu kupitia filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson, kwa mara ya kwanza tangu ajifungue, amezua minong’ono ukumbini. Mpango mzima ulishuhudiwa na gazeti hili usiku kwenye Ukumbi wa Ngome Kongwe, Zanzibar ambapo kulikuwa na Tamasha la Kimataifa la Filamu (ZIFF) ambapo Aunt alitinga akiwa na baadhi ya mastaa wenzake huku baadhi ya watu wakishangaa na kunong’ona kuwa mtoto wake bado ni mdogo iweje...

 

10 years ago

Vijimambo

Picha za baby shower ya Jacque na Andrew iliyofanyika College Park Maryland (USA) siku ya November 22, 2014.



Mapambo yalifanywa na Marbela Events and Decor katika shughuli ya baby shower ya Jacque na Andrew iliyofanyika siku ya Jumamosi iliyopita ya tarehe 22, Novemba pale College Park, Maryland (USA)Jacque na Andrew wakipata u kodak moment kabla ya kuingia ukumbini kwenye baby shower yao iliyoandaliwa na wanafamilia na marafiki zao Jacque na Andrew wakilishana keki kwenye baby shower yao iliyoandaliwa na wanafamilia na marafiki zao Ukodak moment zaidi kwenye baby shower ya Jacque na Andrew 
Kwa...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha ya Zari akioga bafuni yazua gumzo mtandaoni

Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu akioga imezua gumzo kwenye mitandao huku wengine wakisema kuwa hakupaswa kuweka picha ile na kwamba amejianika na haina maadili.

Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wakizungumzia picha hiyo: faridahfakhi Noo kinachotia kinyaa ni kwamba haikupaswa ajianike apo ili iweje istoshe kamera zinawastili watu

santamolly1234 ajui kulea bhana amewaacha watoto ug anakuja kula bhata...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA MATUKIO YALIYOTOKEA KWENYE BABY SHOWER YA AMY HUKO FITCHBURG. MA SIKU YA JUMAMOSI



Mama Kijacho na baba Kijacho wakikata keki tayari kwa kulishana.

 Baba Kijacho akimlisha keki mama Kijacho wake kwa raha zao
 Baba Kijacho akimfuta mama Kijacho wake baada ya kumlisha keki  Mama Kijacho akimlisha kipande cha keki baba Kijacho wake, Kaka wa mama Kijacho akiongea
Mama wa mama Kijacho akiongea.
Mama Kijacho akisakata rhumba na mama yake mzazi.kwa taswira zaidi ya matukio yaliyokuwa yametokea ukumbini hapo jitiririshe kwenye soma zaidi.

 

11 years ago

Bongo Movies

PICHA: Lunch party ya birthday ya kajala ilivyokuwa leo mchana

Tazama picha za lunch ya mwanadada Kajala ilivyokuwa leo kwenye birthday yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani