PICHA ZIARA YA VIONGOZI WA TANZANIA SINGAPORE
Kutoka kushoto ni mkurugenzi wa taasisi ya biashara ya kimataifa iliyo chini ya wizara ya viwanda na biashara Singapore, Rahul Ghosh akibadilishana mawazo na Denis Rweyemamu na Linda Manu kutoka taasisi ya Uongozi ya Tanzania ambayo ndiyo iliyoandaa ziara ya mafunzo kwa makatibu wakuu na vionzoi waandamizi wa serikali ya Tanzania nchini Singapore.
Baadhi ya makatibu wakuu walioko kwenye ziara ya mafunzo nchini Singapore yaliyoandaliwa na taasisi ya uongozi Tanzania, kutoka kushoto ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziPICHA ZA VIONGOZI WALIOKO SINGAPORE KWA MAFUNZO
11 years ago
Michuzi17 Jun
Ziara ya NHC na wakurugenzi wa Bodi Singapore
![IMG_8978](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_8978.jpg)
![IMG_9018](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_9018.jpg)
![IMG_9034](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_9034.jpg)
10 years ago
MichuziZIARA YA VIONGOZI WA TANZANIA NCHINI FINLAND
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Viongozi wa kanisa walipora sadaka Singapore
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Ziara ya Singapore yamzindua Simbachawene kupanga miji
NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene, amezitaka mamlaka zinazosimamia mipango miji nchini kuhakikisha kuwa sheria na taratibu zote za mipango miji zinafuatwa na kusimamiwa. Simbachawene...
10 years ago
Vijimambo18 Feb
Ziara ya waziri wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo ya makazi nchini Singapore
![NHC1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/NHC1.png)
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Ziara ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Singapore
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvu akiwa na ujumbe watendaji wa NHC na Wizara yake amezuru Singapore na kutembelea Bodi ya Maendeleo ya Nyumba na Wizara ya Mambo ya Nje kuvutia uwekezaji Tanzania. Picha kamili na Muungano Saguya – Singapore.
Ujumbe wa Tanzania chini ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ukionyesha namna Serikali ya Singapore inavyoratibu upatikanaji wa nyumba kwa wananchi wake ulipotembelea Bodi ya Maendeleo ya Nyumba ya...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/luk1.png?width=640)
ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NCHINI SINGAPORE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HuDNA2JjJDU/VTvhmgWtPBI/AAAAAAAHTRA/J3PD_A_u7Zg/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi.
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika ...