Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda ahoji Tanganyika inayotakiwa

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amekiri kuwa Bunge Maalumu la Katiba, limeanza na changamoto, huku akihoji wanaotaka Serikali ya Tanganyika, wanakusudia ipi ya mkoloni au ya baada ya uhuru ya miaka mitatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kafulila ahoji ukimya wa Waziri Mkuu Pinda

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila amesema sehemu kubwa ya udhaifu wa kiutendaji katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unachangiwa na ukimya wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda ahoji dhamira kumaliza tatizo la madawati

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza kushangazwa na hatua ya wakurugenzi, mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini kushindwa kutengeneza madawati ili kuwaokoa watoto kutokaa sakafuni, huku vijana wanaoshiriki shindano la Maisha Plus wameweza kutengeneza madawati 30 kwa muda mfupi waliokaa katika kijiji walichopo wilayani Bagamoyo.

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye ahoji usalama wa Muungano

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amehoji kama Muungano wa Tanzania utakuwa salama, ikiwa Katiba mpya itaunda Muungano wa serikali tatu.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM).
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.

Alisema hayo wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa ahoji mkuu wa magereza kuwahoji

Mshtakiwa mmoja kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Dk Sengondo Mvungi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu amedai hawana imani na mkuu wa magereza kutokana na kuwahoji vitu wasivyovielewa kuhusiana na kesi yao wakati wakiwa gerezani.

 

10 years ago

Mtanzania

Wenje ahoji utekelezaji maazimio ya Bunge

NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), amehoji sababu ya ratiba ya Bunge la 18 lililoanza jana mjini hapa, kutoonyesha kama Serikali itawasilisha ripoti ya utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge juu ya fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Wenje alitoa kauli hiyo jana baada ya kuomba mwongozo wa spika, akihoji utekelezaji wa maazimio hayo yaliyopendekezwa na Bunge lililopita.
“Mheshimiwa Spika, ukiangalia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji rushwa za TRA bandarini

MBUNGE wa Viti Maalumu Dk. Pudenciana Kikwembe (CCM), jana aliihoji serikali akitaka kujua namna ilivyopunguza rushwa kupitia Mamlaka ya Mapato (TRA) upande wa bandari tangu kuanzishwa kwa mfumo mpya wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ahoji udhibiti wa dawa feki

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara na kampuni ambazo zimekuwa zikiingiza dawa bandia za binadamu. Alitoa kauli hiyo bungeni leo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu (CCM).

 

10 years ago

BBCSwahili

Rugby Wembly? ahoji Roy Hodgson

Kocha wa timu ya soka ya England Roy Hodgson amehoji uamuzi wa chama cha soka nchini humo FA kuruhusu mechi ya Rugby Wembly

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani